Najua munakwenda kuchezea kichapo. Sasa ngoja nikae mbali ili dam isini rukieBaada ya ujio wa Patrick Phili na vuguvugu la usajiri, SIMBA SC leo wanajitupa uwanja wa Taifa.
Kwa updates pitia hapa
Najua munakwenda kuchezea kichapo. Sasa ngoja nikae mbali ili dam isini rukie
Sasa mtoa mada unasema tukae hapa for updates. Hizo updates ziko wapi? Mbona unatuchomesha mahindi.
labda game haijaanza
matokeo ni bila bila, mpira bado kipindi cha kwanza