Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kuwa huduma zetu za solar tunazitoa Tanzania nzima ikiwemo Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar, Sepon Limited Tunatoa Huduma bora zenye uhakika wa upatikanaji wa umeme muda wote.
Solar system na Backup system.
Tunatoa warranty ya mwaka mzima baada ya kufungiwa pia Free service mwaka mzima.
Karibu Ofisi yetu ipo Sinza Mori barabara ya meeda.
Wasiliana nasi 0716485858/0762246488
Sepon Limited ni kampuni pekee inayomuhudumia mteja na kumpa free service kwa mwaka mzima na warranty ya mwaka mzima, Tunakupatia huduma bora za solar popote Tanzania pia huduma za backup zitakazo kuwezesha kupata umeme muda wote wa tanesco inapokuwa off.
Tunatoa huduma kwa watu binafsi, makampuni, maofisini na makanisani/misikitini.