mimi nadhani hata huko kutaka divorce katika miezi 8 tu ni muda mfupi sana, kwanini una haraka ikiwa mwenzio bado hataki, which means anataka muwe na muda wa kutafakari zaidi kama kweli mnataka kuachana. kuanza mahusiano katika miezi 8 pia ni mapema kupita kiasi, inaanza kunipa wasiwasi mimi binafsi kua huenda wewe ndio una matatizo, sitaki ku conclude hivi lakini, nahisi tu. unaomba divorce haraka haraka kama unataka kuoelewa au kuoa tena, ndicho mnachotaka kufanya? kama sivyo basi naomba usubirie hiyo divorce na hayo mahusiano mapya. mfano mzuri, mimi pia nime separate kwa miaka kadhaa, sijawahi hata kuwaza ku divorce, maana sioni sababu ya msingi kwa sasa, maybe later.
kama mwenzio hakusumbui achana na hiyo divorce, muhimu lea watoto wako na achana na mahusiano mapya maana hakuna malaika, sanasana utaumia zaidi.
Let's see. Maama unawezasema ni brain lakini baada ya trial ukaanza kufikiria with your heart na kutaka mazima mazima kabisa huku Erotica akiachwa solemba mchana kweupeeee.
Umeona eeh!...halafu mahusiano mapya yakishindikana inakuwa tabu nyingine.
BAK n Sal ni muda gani sasa asubiri before start seing someone? Sal umesema umeseparate for few years now; sex life yako ikoje? Unafikiri wote wanaweza ishi 2 yrs bila sex? Na unajua (according to some people hapo juu) kuwa kutoka na mtu mwingine ukiwa katika hiyo separation ni cheating?
Mimi nafikiri wewe bado una mapenzi na mumeo, hii si case kwa mleta mada na sidhani kuwa case zenu zafanana!
BAK ukisoma post zake za nyuma utapata majibu yote, hadi polisi amepelekwa hoping ataxha kuwa abusive!
Mdada hadi kufikia hatua hiyo maana imeshindikana, kwani wanawake wengi (my mom included) huvumilia ndoano for the sake of kids.
Dada hajawa na mtu mwingine, lkn anajua it will happen ndio maana kauliza when is morally legally acceptable?
I am sure,angeanza na case yake (abusive marriage) na kuuliza avumilie au la; wengi wetu tungemshauri atoke kwenye hiyo ndoa (it happened before) lkn to me, case yake was so clear na she knew what she wanted ndio maana hakuileta humu kwa ushauri.
Alichokileta humu ndicho kinachomtatiza!
BAK ukisoma post zake za nyuma utapata majibu yote, hadi polisi amepelekwa hoping ataxha kuwa abusive!
Mdada hadi kufikia hatua hiyo maana imeshindikana, kwani wanawake wengi (my mom included) huvumilia ndoano for the sake of kids.
Dada hajawa na mtu mwingine, lkn anajua it will happen ndio maana kauliza when is morally legally acceptable?
I am sure,angeanza na case yake (abusive marriage) na kuuliza avumilie au la; wengi wetu tungemshauri atoke kwenye hiyo ndoa (it happened before) lkn to me, case yake was so clear na she knew what she wanted ndio maana hakuileta humu kwa ushauri.
Alichokileta humu ndicho kinachomtatiza!
hahaha Mbu bana usje ukasababisha shem akaninyima mwaliko wa besdei yake mpya.
bek to ze topik: Mimi bado nina wasiwasi na hii kesi, kinachonifanya nisiropokwe ni uamuzi wa mleta mada kwamba hataki ushauri anataka maelekezo tu ya uhusiano mpya.
Umeona eeh!...halafu mahusiano mapya yakishindikana inakuwa tabu nyingine.
Subiria divorce. . .kwani mahusiano yanakimbia?