Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Inasemekana nchini Tanzania kuna wachina wasiopungua milioni nane.
Tungeomba sensa ya hawa raia wa china ifanyike mapema ili kufahamu
ukweli wa madai haya.
Maana kila baada ya nyumba mmoja jijini Dar es Salaam kuna mchina mmoja.
Huko mikoani je? hasa maeneo yenye ujenzi wa barabara na viwanda.
Jijini Mbeya maeneo ya Mbozi kuna wachina wengi sana wamezaa wanawake
na kuwatelekeza, watoto wa kichina wanaozaliwa wanaongea kindali na kinyakyusa
tu. Unakuta mtoto wa kichina anaitwa Anyambilile Mwamboje.
Nawasilisha.
By: BUKU JERO
Tungeomba sensa ya hawa raia wa china ifanyike mapema ili kufahamu
ukweli wa madai haya.
Maana kila baada ya nyumba mmoja jijini Dar es Salaam kuna mchina mmoja.
Huko mikoani je? hasa maeneo yenye ujenzi wa barabara na viwanda.
Jijini Mbeya maeneo ya Mbozi kuna wachina wengi sana wamezaa wanawake
na kuwatelekeza, watoto wa kichina wanaozaliwa wanaongea kindali na kinyakyusa
tu. Unakuta mtoto wa kichina anaitwa Anyambilile Mwamboje.
Nawasilisha.
By: BUKU JERO
Last edited by a moderator: