Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
Umeshawahi kusikia kiongozi wa dini amewahi kujitoa muhanga katika kulipua watu/vitu? vijana wao ndo huwa wanafanya hivyo kwa kuahidiwa thawabu wakifika kwa Mungu, sijui hao viongozi wao hawataki hizo thawabu!