STALLEY JF-Expert Member May 5, 2012 619 206 Sep 6, 2012 #101 Sasa mbona hajaja hadharani kubadili msimamo kuwasihi waislamu wenzake wahesabiwe au ndo aibu
Ritz JF-Expert Member Jan 1, 2011 46,918 32,335 Sep 6, 2012 #102 mpayukaji said: Woooi! Nilichemsha. Nilimaanisha Issa Ponda basi kumradhini na nakushukuru Ritz kwa kuliona hilo. Click to expand... Mkuu una unamfahamu Father of All?
mpayukaji said: Woooi! Nilichemsha. Nilimaanisha Issa Ponda basi kumradhini na nakushukuru Ritz kwa kuliona hilo. Click to expand... Mkuu una unamfahamu Father of All?
Ritz JF-Expert Member Jan 1, 2011 46,918 32,335 Sep 6, 2012 #103 Abdulhalim said: Watu wene multiple IDs bana, lol, hadi 'laha' Click to expand... Kajichanganya ha haa ha.
Abdulhalim said: Watu wene multiple IDs bana, lol, hadi 'laha' Click to expand... Kajichanganya ha haa ha.
OSOKONI JF-Expert Member Oct 20, 2011 10,965 5,336 Sep 6, 2012 #104 Mkuu wa chuo said: Ritz je umehesabiwa!? Funguka. Click to expand... Alikuwa wa kwanza aache akumbane na virungu na kuburuzwa kwa pilato ni muoga kunguru ana nafuu!!
Mkuu wa chuo said: Ritz je umehesabiwa!? Funguka. Click to expand... Alikuwa wa kwanza aache akumbane na virungu na kuburuzwa kwa pilato ni muoga kunguru ana nafuu!!