Senegal: Upinzani waitisha maandamano kupinga Rais Sall kuwania Muhula wa 3

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,024
1,616
1688385401171.png

Kiongozi wa upinzani nchini humo, Ousmane Sonko ametoa wito kwa umma kujitokeza kwa wingi mitaani kupinga Rais Macky Sall kuwania muhula wa tatu, jambo linalotajwa kuikiuka Katiba ya Senegal

Rais Macky Sall hivi leo anatarajiwa kutangaza nia ya kugombea Urais wa nchi hiyo kwa kipindi cha 3, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2024

Mnamo mwaka 2012, aliyekuwa Rais wakati huo, Abdoulaye Wade alijaribu kugombea Urais kwa muhula wa 3, jaribio ambapo liliiingiza nchi katika ghasia, na kusababisha vifo vya watu 12


.......

The Senegalese opposition leader Ousmane Sonko has called on the public to "come out en masse" to protest against President Macky Sall seeking a third term.

The incumbent is scheduled to give a speech later to announce whether he will run for president in 2024 - something most legal experts say would violate the Senegalese constitution.

Last month, thousands of protesters took to the streets of various Senegalese cities after Sonko was sentenced to two years in prison for the crime of "corrupting youth".

Sonko's supporters and some political observers say the case was an attempt to block him from running in next year's presidential election.

The clashes were the deadliest in recent memory.

Sonko also said on Sunday that if the president announces a third-term bid it was "incumbent on all the Senegalese people to stand up, to face him".

Persistent ambiguities around a possible Sall candidacy would exacerbate tensions. An attempted third-term bid by then President Abdoulaye Wade in 2012 plunged the country into violence, leading to 12 deaths.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom