Africa leading continent kwa viongozi ambao wanang'ang'ania madaraka licha ya kwamba umri umewatupa mkono
At age ya 85 bado unaomba kutawala ni nini ambacho umeacha huko ikulu ambacho bado hujafanya au unatarajia kufanya katika umri huo
Na ni kipi ambacho utawafanyia wananchi wako katika umri huo ambacho ulishindwa kukifanya ukiwa kijana
What a shame to Wade