Sendoff ina muhimu gani kuliko ndoa?

Sendoff ina muhimu gani kuliko ndoa?

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Kijana alipanga kufunga ndoa mwishoni mwa mwaka huu, mchumba wake akamwambia hataki kufanyiwa sendof kwao, kwahiyo wakakubaliana kutakuwa na harusi bila sendof. Kijana ameunda kamati ametualika tumsaidie.

Imebaki wiki wanakamati tukutane, mara ndugu wa msichana wakaja juu kuwa dada yao haolewi bila sendof maana ni msichana wa pekee.

Hivyo ndugu wakapanga sendof mwezi wa nne mwaka ujao, huku kijana anasubir kukutana na kamati wiki ijayo.

Huyu kijana ashauriwe nini? Aendelee na kamati ambayo ni ya miez takribani 7, ama aivunje kabla haijaketi, nimemshaurh adelete ndoa awaache wafanye sendof yao, maana miezi mi3 wangeweza kuandaa hiyo sendof. Wewe unamshauri je huyu kaka?
 
hehheheh ndugu roho zinawauma wamechanga sanaa sherehe za wengine..lols..uyo bwn harusi inabd tu akubaliane mana vinginevyo wataona mmechukua binti kireja reja....ila harusi bongo tuna complications yani inageuka jambo la stress badala ya faraja..
 
hehheheh ndugu roho zinawauma wamechanga sanaa sherehe za wengine..lols..uyo bwn harusi inabd tu akubaliane mana vinginevyo wataona mmechukua binti kireja reja....ila harusi bongo tuna complications yani inageuka jambo la stress badala ya faraja..

ndo maana nikamshauri adelete harusi, yaani asifanye sherehe.
 
Hapo aendele na mipango na amuulize muolewaji yupo tayari au hayupo tayari kuolewa. Kama yupo tayari for whatever reason hakuna haja ya kusitisha vikao na Tarehe ya harusi itabaki palepale. Wao kama wanataka kuandaa send off waandae within time ya kufanya harusi na bwana harusi na kamati yake wabaki na msimamo huo. Unless binti hataki kuolewa.
 
sio lazima kufanya sendoff kabla ya ndoa, yeye afanye harusi yake awaaambie waendelee na mipango ya sendoff
 
Hapo aendele na mipango na amuulize muolewaji yupo tayari au hayupo tayari kuolewa. Kama yupo tayari for whatever reason hakuna haja ya kusitisha vikao na Tarehe ya harusi itabaki palepale. Wao kama wanataka kuandaa send off waandae within time ya kufanya harusi na bwana harusi na kamati yake wabaki na msimamo huo. Unless binti hataki kuolewa.

great idea mkuu.
 
wafunge ndoa alafu waje wafanye sendoff over la sivyo wabaki na binti yao
 
Kijana alipanga kufunga ndoa mwishoni mwa mwaka huu, mchumba wake akamwambia hataki kufanyiwa sendof kwao, kwahiyo wakakubaliana kutakuwa na harusi bila sendof.

Haya maamuzi yalihusisha familia zao haswa ya mwanamke....?
 
Duu...wazee wa binti watumie busara wapange sendoff yao bila kuwavurugia harusi maana wakicheza watabaki na binti yao wa pekeeeee
 
Harusi ndo muhimu... Sendoff mbwembwe tu na gharama!
 
kwn harusi jamaa alipanga iwe lin maana sijelewa?
 
Kwani sendoff lazma iwe kabla?? Hata baada ya ndoa sendoff inafanyka tuu! Labda kama kuna lingine
 
Yaani ninachukia hii kitu inaitwa sendoff ...ifike mahali watu waachane nazo tu. ni stress za ziada tu.
 
mmmmmhhh....yaan harus ife kisa sendof???...kama wanataka wafanye kabla ya harusi..la sivyo sendof isifanyike coz haina maana saana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom