Semina za mwalimu Christopher Mwakasege

Semina za mwalimu Christopher Mwakasege

Nmepata mengi sana.kupitia semina hizo nmekuwa na moyo ambao hauna chuki wala hasira au wivu kwa wenye maendeleo.zimenisaidia kuchapa kazi zaidi na kuvuna pesa zaidi. Zmenisaidia kupanga mipango mikubwa na kuachana na tabia za roho mbaya kama yako,wivu,husuda na kijicho. Zmenifumbua nisiwachukie wenye nacho ila nijifunze toka kwao.zimenisaidia kufikiria positively na kuachana na imani mbovu mbovu. Zimenisaidia kuwa na Upendo na Amani moyoni. Unajua zamani nilikuwa zaidi ya wewe....yaani unavyofeel wewe sasa mimi nlikuwa mara kumi yake. Nikawa napata shida sana mpaka nakonda moyoni... Yaani kama wewe tu.ila kwa sasa nmenawiri sana... Napendeza nipo focused n.k kiasi kwamba akinambia kuchangia wala sisiti maana nataka awafikie wengine wenye roho mbaya,chafu,yenye chuki,husda,kiburi na upumbavuh....waelimike wapate maisha mazuri duniani na mbinguni.

Utateseka sababu kodi hatolipa...wewe utabaki na roho kukuuma kuwa halipi kodi...utakuwa umebeba mzigo mzito...utabaki unalia lia TRA chukueni kodi. Kila mara... Lakini haitatokea. Na ikitokea watu watasema haina shida tunalipa na hiyo kodi...but kwa utaratibu gani?una charge vipi sadaka kodi?ungehudhuria hata semina moja akili yako ingeanza kucharge ungejitizama na kucheka kuwa...."aiseee kumbe smetme mtu akiwa na chuki anakuwa kama mpumbavuh" ungetikisa kichwa na kuhuzunika sana kuwa hukujua. Hukujua.
Achana naye mkuu, kapata kaelimu kake kakuunga unga tayari keshakuwa mtaalamu wa kuchambua kila jambo
 
Mi sijaona akili ambayo umeonesha. Sijawah and i am sure it wont happen. Katika maisha kila mtu anachagua nini apende na nini asipende. Inaitwa free will. Kama mimi naridhika na anachofanya na namuunga mkono of all the people si wewe ambaye can change my perception. Hivi kwa nini usijaribu kama unadhani inawezekana? Maana siamini kuwa wewe ni mpumbavuh kiasi hutaki hata kuwa tajiri so unaacha tu mwakasege afaidike huku wewe shida zimekujaa kiakili na kimwili. Maana navyokusoma tu nakuona ni mtu mwenye umaskini kiroho mpaka kiakil.umejaa chuki,husda,ufukara na hasira. Ujinga wangu mimi ni hekima kuliko hekima udhaniayo unayo.mimi ntaendelea kuziunga mkono na wewe hutoweza zuia zisiwepo hata ufanyeje.sana sana utabeba mzigo ambao utakutesa kama unavyoteseka sasa kwa huo umaskini wa kimwili na kiroho.

Hizo semina hazina tofauti na zile za ujasiriamali wanazofundisha Clouds Fm......Sema Mwakasege anatumia dini ili awatapeli zaidi wajinga kama wewe
 
Unadhani hata atakuwa na elimu?mi nikimsoma mtu namna anavyoandika najua hata akili na elimu yake. Ni wale watu ambao alidhani kuwa angekuwa ametoa challenge but finally anakuja kuthibitisha kuwa ni empty set he is just occupied with hate and both physically and spiritually poverty which caused by ignorance due to poor thinking reasoning and brain malnutrition. Nmemsamehe tu

Achana naye mkuu, kapata kaelimu kake kakuunga unga tayari keshakuwa mtaalamu wa kuchambua kila jambo
 
Hivi Seminar hizi huwa zinawasaidia kukabili changamoto za maisha au ni njia ya kujifariji
Linaweza onekana kama swali la dhihaka katika uzi huu lakini ni swali la msingi sana
 
Mwakasege ni mjasiria dini tu ,yeye ndie mnufaika na yupo kazini,hizo ''semina ''zenu hazitawasaidia chochote maishani,endeleeni kumtumia pesa kwa Mpesa/Tigo pesa kupitia akaunti yake na ya mkewe,lakini pia nadhani umefika wakati TRA ianze kukata mapato anayoyapata huyu Mwakasege,badala tu ya kuwaakaanga akina mama ntile hawa wajasiria dini nao wakatwe mapato,kwani wanaingiza mamilioni huu sio wito bali ni kazi halali kama kazi zingine sampuli za wachungaji aina hii hawana tofauti na ma MC wa kwenye sherehe,ambao nao sijui kama wanalipa kodi ,ilihali nao wanaingiza mamilioni ,kama wanampenda Mungu,basi vile wanavyopata pesa kwa kuchangia hizo semina basi nao wachangie hayo mapato TRA,mimi nipo tayari kuchangia mashine ya EFD bana,najua watu watakuja na mipovu tele hapa lakini ukweli unabaki palepale sampuli hizi hazilipi kodi au wanakwepa kulipa kodi,kwa kufanya hivyo wanachuma dhambi kwa kutosema ukweli,dhambi sio uzinzi tu bali kutosema yale yanayotakiwa kuyasema.
Povu la nini wakati hela hutoi wewe tafuta zako na wewe ukahonge hakuna mtu wa kuingilia matumizi yako
 
Chuki?kwa kitu gani mtu ukiambiwa alipe kodi unadai chuki,ukiambiwa hizo semina hazisaidii chochote bali ni ujasiria dini ni sawa na hizi talk show za akina Dr Mauki,unasema chuki,toka umeanza kuhudhuria hizo semina ni kipi ulichokipata ambacho asiye hudhuria kakikosa ,sote tu wana adamu na Mwakasege ni kama wewe tu au mimi,sio kusema ndio utaenda peponi kwa kufuata hizo semina na yule asie fuata ataenda motoni,na mwisho kumjua au kutomjua huyo mhubiri haisaidii ,TRA ni wakati wa kuwafuatilia watu hawa ,kulipa kodi hakuangalia huyu nani wala yule nani.Mambo ya kusema sijui maneno yangu hayapunguzi wala kuongeza nadhani si kweli ndio maana umekuja hapa kujibu,TRA fanyeni kazi yenu kwa wajasiria dini,wao sio malaika hata kidogo.
Umepewa akili na maarifa.....jitafakari
 
Back
Top Bottom