Semina za mwalimu Christopher Mwakasege

Semina za mwalimu Christopher Mwakasege

Mwezi uliopita alikuwa tanga Kisha week mbili nyuma akaja singida nadhani Sasa hivi atakuwa mikoa ya kusini kusini.sina uhakika Sana nikipata taarifa nitapost naufuatilia huu uzi
 
Nimeanzisha uzi huu ili kupeana ratiba na taarifa juu na semina mbalimbali anazozifanya mwalim Mwakasege hapa nchini na hata nje ya nchi.
Karibu
Baada ya kutoka hapa kigoma ujiji alienda singida then kwa ratiba week iliyopita ilikua dodoma udom kwa ajili ya maombi kwa ajili ya taifa.
 
Kwahiyo hii thread itafanya watu wawe waoga humu hawatatuma picha za yue aliyeteuliwa hivi karibuni
 
Kwahiyo hii thread itafanya watu wawe waoga humu hawatatuma picha za yue aliyeteuliwa hivi karibuni
Nadhani kuthread kwa ajili ya hayo mambo. Ila hapa itapendeze kama hatutapatumia kwa kazi hiyo.
 
Bora wewe umenena walau tumrudie mola wetu; imefikia hatua wanadamu tunawindana kama wanyama wa mwituni.
 
Nimeanzisha uzi huu ili kupeana ratiba na taarifa juu na semina mbalimbali anazozifanya mwalim Mwakasege hapa nchini na hata nje ya nchi.
Karibu
Vipi kiingilio na sadaka hachukuagi?
 
Back
Top Bottom