Semina ya Wanawake

Joined
Feb 20, 2015
Posts
7
Reaction score
2
. ****** SEMINA YA WIKI*****

Hii ni semina kubwa kwa WANAWAKE, itakayofanyika 16/07/2016 Jumamosi hii pale King Solomon Hall kuanzia muda 3pm kwa kiingilio cha 10,000/=
Mwanamke unathaman kubwa kwenye Uchumi na Malezi bora. Njoo Ujifunze njia za ujasiriamali kutoka kwa wanawake waliofanikiwa na kuendelea kupata Heshima kwa mafanikio yao.
#Tatizo la Ajira kwa Akina Mama
#Ujuzi Wa Biashara Sahihi
#Njia za Kukuza Biashara
#Ukuuzaji wa Kipato Endelevu
#Ujenzi wa Familia Bora na n.k
Njoo Ujifunze namna ya kuondokana Sekeseke la Mikopo na Biashara za Mikopo
Nafasi Ni Chache Jipatie kadi yako mapema kwa kuwasiliana na
Nurdin Yussuph +255765100319
+255676100319

N:B
Mwanamke aliyefanikiwa n yule aliyejenga Uchumi wake kwa kupitia Ujasiamali na Malezi Bora kwa Familia Pamoja na jamii inayomzunguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…