Waulize wao wana hata kibanda cha kuchajishia simu? Bado mimi siamini mwajiriwakutoa semina ya Ujasiriamali, Nakumbuka nikiwa huni kuna lecture mmoja alikuwa anatufundisha intreprenership, alikuwa aiulizwa yeye kma yeye ana ipractice? Jibu lilikuwa ni hapana na anaogopa biashara kama ukoma,
So ishu ya waajiriwa kutoa semina za businss skills mimi kwa kweli siafiki kabisa,