semeni mnataka nini

semeni mnataka nini

Mtu akifanya hivi mm sibanduki ng'oooo
  • Pleasure
  • Friendship
  • Commitment
  • Caring
  • Honestly
  • Intimacy
  • Trust
  • Communication
  • Respect
  • Recognizing differences
  • Openness
  • Hard work
  • Responsibility
  • Closeness
 
its all about love which lead to the following:
  • money
  • respect
  • care
  • security
  • happiness
  • funny
  • jokes not too serious
  • development

sawa naweza kukupa vyote hivyo
swli ni je...! sita kwa sita haina umuhimu ktk hayo coz u don mention
it.....
Nawasilisha......
 
Mtu akifanya hivi mm sibanduki ng'oooo
  • Pleasure
  • Friendship
  • Commitment
  • Caring
  • Honestly
  • Intimacy
  • Trust
  • Communication
  • Respect
  • Recognizing differences
  • Openness
  • Hard work
  • Responsibility
  • Closeness

Wakat najarbu kuyafanya hayo yote wadau Watasema umeniweka kwenye chupa,,,,
 
its all about love which lead to the following:
  • money
  • respect
  • care
  • security
  • happiness
  • funny
  • jokes not too serious
  • development

Mengine yote sio shida sana lakini hapo kwenye red unaharibu kabisa, japo ndio wengi wanaangalia kwanza kama ulivyo mention first. Lakini hakika ni majanga huko, maana hakuna true/real love kama kigezo number one ni money. Any way ni mtazamo tu.

cc Ablessed, heri ya mwaka mpya mkuu huko ulipo.
 
Last edited by a moderator:
its all about love which lead to the following:
  • money
  • respect
  • care
  • security
  • happiness
  • funny
  • jokes not too serious
  • development

Hivi nyie wanawake hela zenu zina kaz gan?yan ni money money money+
 
Wakat najarbu kuyafanya hayo yote wadau Watasema umeniweka kwenye chupa,,,,

Unaangalia jinsi watu watakavyosema, au jinsi moyo wako unavyojisikia wakati ukimfanyia mpz wako hayo mambo?
 
Unaangalia jinsi watu watakavyosema, au jinsi moyo wako unavyojisikia wakati ukimfanyia mpz wako hayo mambo?

Hujui kuwa ''enviroment distract the brain''
 
The brain get distracted but what about the heart? Does it feel distracred or pleased?

Akili inapenda then moyo unafuata,so what if akil ikiwa spoiled?
 
Akili inapenda then moyo unafuata,so what if akil ikiwa spoiled?

Hivi ni akili ndo inapenda halafu moyo unafuata kweli na sio kinyume chake?
 

Attachments

  • 1388830599616.jpg
    1388830599616.jpg
    48.2 KB · Views: 60
.....ni kweli na ndo mana yana nguvu sana

haha wacheni kujidanganya love ina definition....soma bible utaikuta huko...nyie ambao hamjui definitions ndio maana mnachanganya kati ya love na infatuation
 
Mengine yote sio shida sana lakini hapo kwenye red unaharibu kabisa, japo ndio wengi wanaangalia kwanza kama ulivyo mention first. Lakini hakika ni majanga huko, maana hakuna true/real love kama kigezo number one ni money. Any way ni mtazamo tu.

cc Ablessed, heri ya mwaka mpya mkuu huko ulipo.

Na kweli ni mtazamo mapenzi na njaa hayaendi kabisa
 
Last edited by a moderator:
sawa naweza kukupa vyote hivyo
swli ni je...! sita kwa sita haina umuhimu ktk hayo coz u don mention
it.....
Nawasilisha......

Me siyo muhimu sana aisee kwa kweli hata ukigonga nje fresh tu
 
Hivi ni akili ndo inapenda halafu moyo unafuata kweli na sio kinyume chake?

Ingekua hivyo basi ingekua balaa,hzo broken heart zngekuwa kila kona
 
Love is myth hivyo mahitaji yanatofautiana..what you need is to meet expectations za partner ili awe na furaha..
 
Back
Top Bottom