semeni mnataka nini

semeni mnataka nini

9mm

Senior Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
160
Reaction score
106
Salam wanajamvi
Kwa mtazamo wng naona Kila siku zinavyokwenda ndivyo suala la mapenz linazid kuwa undefined,sasa basi,JF ladies hebu funguken,kiukweli mnapenda nn kutoka kwa gents labda inaweza ikasaidia ku generalize na kwa kias fulan tukapata conclusion kuhusu nin mnataka kutoka kwetu.
Naomba kuwasilisha,kama kutakuwa na tatizo la uandishi basi tuvumiliane,,,
 
Love, care, honesty,usiwe na match za ujirani and ATM yako na pin no yake

Just for love
 
Conclusion haiwezi kufikia hata siku moja, men and women will never understand each other, men r from mars women r from venus, yaani tuko kwenye parallel lines ambazo ziko sambamba lakini hazikutani!
 
mapenzi ya dhati kutoka kwa muhusika.kuheshimiwa.kuthaminiwa.kusikilizwa.kurekebishwa tunapokosea.wivu usiopitiliza.
 
  • Thanks
Reactions: 9mm
Hivi ushawahi kuona wapi swala anamuwekea masharti Simba mla nyama...
 
mapenzi ya dhati kutoka kwa muhusika.kuheshimiwa.kuthaminiwa.kusikilizwa.kurekebishwa tunapokosea.wivu usiopitiliza.

Kuna point nimepata hapa,,
 
funguken basi..........au na nyie hamjui mwataka nini...?
nawasilisha........
 
Jitahd kumtimizia mahtaj yake yakizid sana unapunguza caring akianza kulilia caring unapunguza mahtaj then ka circle kanajirudia maisha yanasonga
 
  • Thanks
Reactions: 9mm
read this book once! and the confusion between the martian and the venus is there cause the venus(women) dont exactly knw what they want!
 
its all about love which lead to the following:
  • money
  • respect
  • care
  • security
  • happiness
  • funny
  • jokes not too serious
  • development
 
Naandaa thesis hapa,once nikijaaliwa miaka 90 nitajua wanachotaka ladies!
 
Love is unconditional...kila mtu atakuja na mtazamo wako....ila hii ktu hii
 
Back
Top Bottom