Ooyooo naona wale wote wa kupenda amani na wao wataipenda hii picha lakini hapa bongo huwa hatuna viongozi wa kutushika mikono kisawa sawa na kutuongoza kwa njia ya amani na hizo zote tumezipokea kutoka nje tena kwa mikono miwieli lakini leo hao hao ndio wana pokea vijisenti na kutupandikiza chuki na uhasama bila ya huruma ya amri za mungu na hapo ndio utaona sisi tuna viongozi wa masilai tu na viongozi wa kutushikia mabakora na likipasuka wao huwaoni ni wako nje kibizy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.