Sema ukweli wako, ukiona Tsh. 50 mbele yako unaiokota au utaipita kama hujaiona?

hivi nyie wenzangu mna mioyo ya aina gani et?

Hadi Buku unaacha? tuwe tunatembea wote Pyaar
 
simu umemwachia mwana au umemuazima atumie kisha akurudishie mkuu?
 
Nmecheka hapo ulipofika kwenye 5000 na 10000 nilijua utaendelea ku flow

kama ulivyoanza mwanzo,mimi nakuombea wiki hii ukutane nazo uje utupe

mrejesho ila kwanini huokoti hizo coin zingine,unajiskiaje ukiokota au unajionaje?

Huwa sijiskii tu amani kufanya hivo.
 
Kwa nini nisiokote, sema wewe unabahati maana wengine hata hizo hamsini siku hizi hatuzioni.
 
Kuna 50 moja imeanguka chumbani karibu na mlangoni toka juzi Mimi na wife tunaipita tuu.. hata watoto wakija kusalimia asubuhi wanaipita tuu.. sijui kwa nn. Sa HV nimeona huu Uzi Niko mbali na home nikaikumbuka.
 


Mimi naokota na ninaitia mfukoni, lakini kama ni ndani ya daladala na nimeambiwa nimeangusha ela na hiyo ela siyo yangu basi nitasema hiyo sio ela yangu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…