Sema neno hapa

Sema neno hapa

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,671
attachment.php
 

Attachments

  • 1395743130329.jpg
    1395743130329.jpg
    39.8 KB · Views: 1,295
Dogo wa kiume ana mapenzi ya dhati kwa dada yake, dada hajali kabisa
 
Anachokifikiria mtu ni Siri kubwa. Hapo mmepata bahati ya kuwakilishiwa baadhi tu ya maneno! katika fikra za binadamu. Na usilio lijua ni usiku wa kiza.
 
Kwa umri wa hawa watoto wanaweza kuandika achilia mbali kuzungumza? Huo mwandiko ni wa mtoto mdogo? kama siyo ni mtu mzima kawaandikia inamanisha anaweka maneno midomoni mwao kitu ambacho sio sahihi. hata kama kuna ujumbe wanataka kufikisha sio kwa kupitia watoto wadogo kwa vile hata kwenye vitabu vitakatifu waanachukuliwa kama malaika.....
 
Dada anamwonea wivu mdogo wake..upendo wa baba na mama anaona umehamia kwa mdogo wake..
 
Back
Top Bottom