Katika utafiti wangu nimegundua kuwa kati ya wanawake 10 ni watatu wanao weza kuachana na wapenzi wao wa zamani. Wengine wote huwa wanarudia wanasema hebu tujikumbushe kipindi chetu cha ujana.
Tukishaachana basi hana nafasi tena katika maisha yangu, sio mpenzi tena ni mtu tu wa kawaida kama watu wengine ambao huwa nakutana nao katika safari, makazini, kanisani, misibani then tunaachana, na siku tukikutana tena baada ya siku nyingi tunaanza kuulizana hivi tulikutana wapi kweli? na yeye namchukulia hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.