sema kitu hapa..

Katika utafiti wangu nimegundua kuwa kati ya wanawake 10 ni watatu wanao weza kuachana na wapenzi wao wa zamani. Wengine wote huwa wanarudia wanasema hebu tujikumbushe kipindi chetu cha ujana.
 
Tukishaachana basi hana nafasi tena katika maisha yangu, sio mpenzi tena ni mtu tu wa kawaida kama watu wengine ambao huwa nakutana nao katika safari, makazini, kanisani, misibani then tunaachana, na siku tukikutana tena baada ya siku nyingi tunaanza kuulizana hivi tulikutana wapi kweli? na yeye namchukulia hivyo
 
kwangu namchukulia wa kawaida sana, wa muhimu ni yule nilienae kwa sasa.Tena huyo wa zamani hata huwa simkumbuki wala kumuwaza hata kidogo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom