String Theory
Senior Member
- Jan 23, 2014
- 155
- 63
Km 170000 imepigana vita vingi sana...
ni bora ungesema unauza SKREPA si gari
Duh! Gari km170000 bei m15 yaani imeenda ulaya na kurudi mara kadhaa! Mkuu punguza bei vita hata 10m
Km 170000 imepigana vita vingi sana...
ni bora ungesema unauza SKREPA si gari
Mh,ilikuwa inafanya mishe ya ujambazi nini,?maana hiyo bei utadhani ndio inatoka japan leo.hizo km 170 ingekuwa na mdomo ingesema bora ipumzishwe kwa amani
String kuwa mpole humu kuna majibu ya ajabu kweli.
Sie tuliozoea tunaona nisehem ya burudani.
Usishange mtu akakumbia bei hiyo unaniuzia pamoja na mkeo au?
Ushair wangu ni kwamba jaribu ku adjust bei,maana sios iri zipo juu sana
Maana kama Toyota Touring Hiace,hizi zimekuja kushushwa bei na Noah,kwahiyo inabidi kipindi fulani kuuza gari lazima usome alama za nyakati.
Mi nauza X-trail imetembea 86,000 kms na nauza 10m (Tsh.) ipo Dar