silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Wachungaji hawa mimi nawatabiria Watakufa na Makanisa yao,
Kwasababu hazina Kichwa wala miguu, na sijui makao makuu ya Makanisa hayo, na Kama hayapo kibiashara, sasa wanafanya nini hapa Tanzania zaidi ya KUGOMBANIA WAUMINI WENYE PESA ZAO?
sELIKALI INATAKIWA ITAZAME BIASHARA HII WANAYO IFANYA WACHUNGAJI HAWA ikiwezekana basi wapate kibali na wawe wanalipia kodi, haina tofauti na ile ya DECI lakini hii waumini wakitoa hawarudishiwi..
Mchungaji Joseph Gwajima ("The Glory Church" ufufuo na uzima)
Mchungaji huyu anawadanganya Uma wa Watanzania kuwa yeye huwafufua watu ambao wameaminika asilimia 100% na kuwaleta duniani tena akidai hawakufa bali wanaishi sehemu tu akiitwa majina ya kigiza MISUKULE.
UKIFUATILIA HUKUTI HISTORIA YA MTU HUYO KUWA ALIKUFA NA NDUGU HUWAONI INAONEKANA NIWATU TU WA MJINI HUWA WANALIPWA NA KUIFANYA KAZI HIYO YA KUUPOTOSHA UMA WA tANZANIA, na yeye atakufa na kanisa lake coz waumini humfuata yeye tu
Getrud Rwakatale
Nayeye anajifanya ni mchungaji Mwanamke, katika Biblia sijawahi kusoma Sura hata moja nikaona Mchungaji au kiongozi wa kanisa ni Mwanamke, Sasa yeye amejiundia Biblia yake pekeyake na kujifanya yeye ni mchungaji ili apate kushirikiana na Selikali kuiba na Kurubuni Mali za Watanzania, na ndiyo maana leo hii amechaguliwa kuwa Mbunge viti maalum. na huyu takufa na kanisa lake.
Kakobe Zakaria
Jamaa alianza vizuri sana, lakini na yeye aalewa sifa na kujiona sasa Maisha ameyapatia, kwani sasa anataka hadi kushindana na Selikali katika Mambo ya muhimi na ya kimaendeleo, cha kushangaza Mambo yake binafsi anawashirikisha na waumini wa kanisalake kiasi cha kutishia Amani ya nchi.
bila kujitambia Waumini humfuata yeye na akifa wata sambalatika kama wenzake Gwajima na getrud
Lusekelo Anthony
Jamaa ana mbwembwe sana na haoni haya kumnyima mtu baraka kama yupo nje na kanisa lake Huku akikuambia uje kanisani ili upate upako..
andalia hapa..
Awali, waandishi walimwomba Mzee wa Upako kusali kabla na baada ya mkutano ili wapate baraka kutoka kwa Mungu, lakini alikataa akisema wanaotaka kuombewa waende kanisani kwake Ubungo-Kibangu. Baada ya kukataa kushusha sala, aliulizwa na waandishi kama maneno aliyoyasema alishushiwa na Mwenyezi Mungu baada ya kusujudu na kufunga ili kuinusuru Tanzania au alitumwa na mmoja wa watu hao walioko kwenye mvutano. Akijibu swali hilo, alisema hakulishwa maneno na Mungu wala mmoja wa mahasimu, bali aliamua kutoa msimamo wake kama Mtanzania mzalendo. na yeye ataondoka na kanisa lake
Farancis Mkwera
Huyu jamaa alikuwa Padre wa kiroma, kutokana na utovu wa nidhamu kulikosea Kanisa kuu kuliko yote Duniani Roman Katoliki, alisimamishwa kwa muda ili ajifunze, kutokana na makosa yake,,
Mkwera aliamua kuonesha umwamba kwa viongozi wake, na kuamua kuondoka na kuanzisha kikanisa chake ambacho hatujui ni cha aina gani walokole, au pentekoste au hakifahamiki kabia, nayeye anajiuliza je Atazikwa na Kikanisa chake?
Ufafanuzi wa Thread hii ni kwasababu ya mienendo ya kibiashara ambayo Makanisa haya na Wachungaji wake wamejijengea, sote tumeona Faida anayo pata Mama Rwakatale ni Kuanzisha mashule mbalimbali ili kujinufaisha zaidi, na sasa kwaPesa za waumini wake anampango wa kuanzisha chuo kikuu..
Hawa wote wakifa watakufa na Dini zao,
lengo langu mimi ni Salikali iwaangalie hawa kwa jicho la tatu siono tofauti na Matapeli jamani, Wana watapeli Waumini wa Dini zao,./
Kwasababu hazina Kichwa wala miguu, na sijui makao makuu ya Makanisa hayo, na Kama hayapo kibiashara, sasa wanafanya nini hapa Tanzania zaidi ya KUGOMBANIA WAUMINI WENYE PESA ZAO?
sELIKALI INATAKIWA ITAZAME BIASHARA HII WANAYO IFANYA WACHUNGAJI HAWA ikiwezekana basi wapate kibali na wawe wanalipia kodi, haina tofauti na ile ya DECI lakini hii waumini wakitoa hawarudishiwi..
Mchungaji Joseph Gwajima ("The Glory Church" ufufuo na uzima)
Mchungaji huyu anawadanganya Uma wa Watanzania kuwa yeye huwafufua watu ambao wameaminika asilimia 100% na kuwaleta duniani tena akidai hawakufa bali wanaishi sehemu tu akiitwa majina ya kigiza MISUKULE.
UKIFUATILIA HUKUTI HISTORIA YA MTU HUYO KUWA ALIKUFA NA NDUGU HUWAONI INAONEKANA NIWATU TU WA MJINI HUWA WANALIPWA NA KUIFANYA KAZI HIYO YA KUUPOTOSHA UMA WA tANZANIA, na yeye atakufa na kanisa lake coz waumini humfuata yeye tu
Getrud Rwakatale
Nayeye anajifanya ni mchungaji Mwanamke, katika Biblia sijawahi kusoma Sura hata moja nikaona Mchungaji au kiongozi wa kanisa ni Mwanamke, Sasa yeye amejiundia Biblia yake pekeyake na kujifanya yeye ni mchungaji ili apate kushirikiana na Selikali kuiba na Kurubuni Mali za Watanzania, na ndiyo maana leo hii amechaguliwa kuwa Mbunge viti maalum. na huyu takufa na kanisa lake.
Kakobe Zakaria
Jamaa alianza vizuri sana, lakini na yeye aalewa sifa na kujiona sasa Maisha ameyapatia, kwani sasa anataka hadi kushindana na Selikali katika Mambo ya muhimi na ya kimaendeleo, cha kushangaza Mambo yake binafsi anawashirikisha na waumini wa kanisalake kiasi cha kutishia Amani ya nchi.
bila kujitambia Waumini humfuata yeye na akifa wata sambalatika kama wenzake Gwajima na getrud
Lusekelo Anthony
Jamaa ana mbwembwe sana na haoni haya kumnyima mtu baraka kama yupo nje na kanisa lake Huku akikuambia uje kanisani ili upate upako..
andalia hapa..
Awali, waandishi walimwomba Mzee wa Upako kusali kabla na baada ya mkutano ili wapate baraka kutoka kwa Mungu, lakini alikataa akisema wanaotaka kuombewa waende kanisani kwake Ubungo-Kibangu. Baada ya kukataa kushusha sala, aliulizwa na waandishi kama maneno aliyoyasema alishushiwa na Mwenyezi Mungu baada ya kusujudu na kufunga ili kuinusuru Tanzania au alitumwa na mmoja wa watu hao walioko kwenye mvutano. Akijibu swali hilo, alisema hakulishwa maneno na Mungu wala mmoja wa mahasimu, bali aliamua kutoa msimamo wake kama Mtanzania mzalendo. na yeye ataondoka na kanisa lake
Farancis Mkwera
Huyu jamaa alikuwa Padre wa kiroma, kutokana na utovu wa nidhamu kulikosea Kanisa kuu kuliko yote Duniani Roman Katoliki, alisimamishwa kwa muda ili ajifunze, kutokana na makosa yake,,
Mkwera aliamua kuonesha umwamba kwa viongozi wake, na kuamua kuondoka na kuanzisha kikanisa chake ambacho hatujui ni cha aina gani walokole, au pentekoste au hakifahamiki kabia, nayeye anajiuliza je Atazikwa na Kikanisa chake?
Ufafanuzi wa Thread hii ni kwasababu ya mienendo ya kibiashara ambayo Makanisa haya na Wachungaji wake wamejijengea, sote tumeona Faida anayo pata Mama Rwakatale ni Kuanzisha mashule mbalimbali ili kujinufaisha zaidi, na sasa kwaPesa za waumini wake anampango wa kuanzisha chuo kikuu..
Hawa wote wakifa watakufa na Dini zao,
lengo langu mimi ni Salikali iwaangalie hawa kwa jicho la tatu siono tofauti na Matapeli jamani, Wana watapeli Waumini wa Dini zao,./