Wewe wacha uongo hiyo picha ni ya jackie hapie yule muigizaji wa Nigeria ila ni mgana, anaigiza sana Nigeria movies. Hii picha yake umeitoa insta.
[/Ujue alikuwa anaongoza ligi na pointi 100 kama ni hivo kadanganya ataponywa pointi zote leta kwanza ushahid wa full picha