Hahahaha nawashangaa sana mnaoniitaga mpole, roho yangu inanishuhudia kabisa mi sio mpoleHahahahaha binti mpole Kama wewe unaanzaje kufunga piem??
Picha tutatumaje SASA?
Watutongoze na tuwakatae hapa hapa nani anataka kukaushwa mate!๐คชYaani ni mwendo wa "hapahapa jukwaani".....haendi mtu Pm hapa.
Mpaka wanyooke....๐๐๐
Usijali we nenda kuna mchongo nausikilizia hapa, trust me hata kesho inaweza isifike.Unanisingiziaaa,
Kuna mchongo nausikilizia"๐๐๐๐๐!Usijali we nenda kuna mchongo nausikilizia hapa, trust me hata kesho inaweza isifike.
Karaqhabao
Shemelaa nani kakuteka
Kabla hujaliwa sharti uwe umekula kwanza hiyo ndio kanuniUsijali we nenda kuna mchongo nausikilizia hapa, trust me hata kesho inaweza isifike.
Karaqhabao
Maisha ๐ต๐ต๐ตShemelaa nani kakuteka
Mpige game moja mi refa, dawa za presha si unazo babu tatizo liko wapi? ๐คฃ๐คฃ๐คฃHahaha..........mwambie Uzee dawa, tunaweza kumshinda adui hata kama bunduki zetu hazitoi risasi ๐
๐น๐น๐น vdjondcdiccrcfjbโฆ.. au basiHahaha..............amenambia yeye anaendesha Toyota Prado TX ya Mwaka 2022
Nimemwambia mkija kutusalimia Likizo ya Mwezi December aje mnipe lifti kidogo ๐
Usiniambie mdogo wako ushampea mwingine.Maisha ๐ต๐ต๐ต
But, wait...
Shemeji bila mhusika?๐ค
ASAP mahi ๐นMbna hukujiii, [emoji23][emoji23][emoji23]