Costa Nembuka
New Member
- Mar 29, 2018
- 3
- 3
Naomba kuuliza kuhusu selections za chuo cha afya Dodoma,DIHAS wanautaratibu gan katika kuachia selections zao??
Kama kuna mtu alipitia hapa naomba mawazo.
Kama kuna mtu alipitia hapa naomba mawazo.
Selection zipo out kwa vyuo vyote vya govt so..ingia kwenye profile yako utataona if you are selected or notNaomba kuuliza kuhusu selections za chuo cha afya Dodoma,DIHAS wanautaratibu gan katika kuachia selections zao??
Kama kuna mtu alipitia hapa naomba mawazo.