Wakuu mwenye kujua ni lini au kipindi gani selected list ya walochaguliwa kwa master kwa udsm anijuze maana deadline ya application ili kuwa 15 May na kwa mfumo wa application unaofanyika manually ni vigumu kujua kama application parcage ilishafika au ilipotea au kuna makosa au kuna vitu hukuambatanisha ni shida kujua! Nasikia Mzumbe wametoa tayari.