Zikitoka znaanikwa kwenye website?
Ya NECTA au Wizara ya Elimu?
Nauliza hivi bcoz niko nje ya nchi hadi September na nina kidbrother kwa sasa yuko bush country anasubir selection kama atapata.
Asanteni kwa ushirikiano.
Zikitoka znaanikwa kwenye website?
Ya NECTA au Wizara ya Elimu?
Nauliza hivi bcoz niko nje ya nchi hadi September na nina kidbrother kwa sasa yuko bush country anasubir selection kama atapata.
Asanteni kwa ushirikiano.
Sio mimi,
ila alikuwa na III22 (Physics C, Chemistry C, Maths C, Biology B) mengine hayakuwa mazuri.
kwa hapo nadhani PCM, PCB, CBG anatapata.
Selection zimetoka fukunyungu ?
Zikitoka znaanikwa kwenye website?
Ya NECTA au Wizara ya Elimu?
Nauliza hivi bcoz niko nje ya nchi hadi September na nina kidbrother kwa sasa yuko bush country anasubir selection kama atapata.
Asanteni kwa ushirikiano.
Watu wakishakuwa nje ya nchi wanajidai hawajui mambo ya kwao! Ww selection zako ulizionaje?? We unafikiri zaidi ya kuwekwa kwenye hizo website mbili zitawekwa kwenye facebook au kwenye web ya wizara ya afya???