Selection 2018/2019 lini waku

Selection 2018/2019 lini waku

**TCU UPDATES** Wanafunzio wote watakaochaguliwa chuo zaidi ya kimoja, watapokea ujumbe(SMS) wenye CODE "Comfirmation Code" kutoka TCU. CODE hiyo ni siri yako mpaka utakapokuja nayo hapa InternetCafe kwa ajiri ya kuthibitisha chuo utakachoenda. Na majina ya waliochaguliwa awamu ya kwanza yatatoka tarehe 30/8/2018. Jiandae kuthibitisha mapema ili kujihakikishia mkopo. Gharama ya kuthibitisha ni 1000/- tu. Mtaarifu na mwengne. Asante!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
**TCU UPDATES** Wanafunzio wote watakaochaguliwa chuo zaidi ya kimoja, watapokea ujumbe(SMS) wenye CODE "Comfirmation Code" kutoka TCU. CODE hiyo ni siri yako mpaka utakapokuja nayo hapa InternetCafe kwa ajiri ya kuthibitisha chuo utakachoenda. Na majina ya waliochaguliwa awamu ya kwanza yatatoka tarehe 30/8/2018. Jiandae kuthibitisha mapema ili kujihakikishia mkopo. Gharama ya kuthibitisha ni 1000/- tu. Mtaarifu na mwengne. Asante!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo 1000/- Ya Nan?
 
**TCU UPDATES** Wanafunzio wote watakaochaguliwa chuo zaidi ya kimoja, watapokea ujumbe(SMS) wenye CODE "Comfirmation Code" kutoka TCU. CODE hiyo ni siri yako mpaka utakapokuja nayo hapa InternetCafe kwa ajiri ya kuthibitisha chuo utakachoenda. Na majina ya waliochaguliwa awamu ya kwanza yatatoka tarehe 30/8/2018. Jiandae kuthibitisha mapema ili kujihakikishia mkopo. Gharama ya kuthibitisha ni 1000/- tu. Mtaarifu na mwengne. Asante!

Sent using Jamii Forums mobile app
Asa cafe tukafanye nn, kama cm tunazo heeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtataman vyuo vikubwa wote hah najua
watakaochaguliwa BAEC s.t augustine mwanza
karibuni mmepata mwenyeji
 
Vp kwa walio chaguliwa chuo kimoja tu make tcu wametoa majina ya walio chaguuliwa chuo zaidi ya kimoja na ambao je wamechaguliwa chuo kimoja vp??
 
Vp kwa walio chaguliwa chuo kimoja tu make tcu wametoa majina ya walio chaguuliwa chuo zaidi ya kimoja na ambao je wamechaguliwa chuo kimoja vp??
Hayo hutolewa na vyuo husika so wait
 
Back
Top Bottom