Selcom imerudi tena kwa kishindo, MaxMalipo tupa kule

Selcom imerudi tena kwa kishindo, MaxMalipo tupa kule

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,513
Reaction score
8,276
Hahahahahah! Selcom sasa iko hewani LUKU zinafyatuka. Nilitangaza kuuza mashine yangu humu sasa nimeahirisha, wapi ichenjezya! Mnaojua kuita watu humu niitieni ichenjezya hapa.
 
Hahahahahah! Selcom sasa iko hewani LUKU zinafyatuka. Nilitangaza kuuza mashine yangu humu sasa nimeahirisha, wapi ichenjezya! Mnaojua kuita watu humu niitieni ichenjezya hapa.
Vwawa moja,maeneo ya kwa Jimmy
 
Wengine hadi leo hatujapewa umeme tulionunua wala kurudishiwa pesa zetu.
 
Mm nimenunua umeme sasa week imepita sijapata umeme nataka niwapeleke mahakani aise huu ni wizi kabisa.
 
Mm nimenunua umeme sasa week imepita sijapata umeme nataka niwapeleke mahakani aise huu ni wizi kabisa.

Wamenipa namba ya kuwapigia Tanesco,hadi sasa inafika wiki toka waniambie nisubiri watanitumia umeme. Halafu namba yenyewe muda wote ipo busy.
 
Mbona nilisikia serikali imesitisha mkataba na selcom vp tena??
 
Hahahahahah! Selcom sasa iko hewani LUKU zinafyatuka. Nilitangaza kuuza mashine yangu humu sasa nimeahirisha, wapi ichenjezya! Mnaojua kuita watu humu niitieni ichenjezya hapa.
Mkuu ichenjezya unaitwa huku na Sexer
 
Last edited by a moderator:
Apana ingilia kichwa kichwa biashara za watu. inchi iko wenyewe.....
 
Tunapenda kuwajulisha kuwa tatizo la LUKU limetatuliwa na sasa huduma hiyo inafanya kazi kama kawaida. Asante kwa uvumilivu wako. Furahia huduma za Selcom
 
Safi sana Selcom. Maxmalipo huduma zao za luku sio sharp kabisa. Ukinunua umeme kwa Maxmalipo utashangaa message inakuja baada ya saa 5 au mpaka kesho yake wakati Selcom wakati inachapisha luku na wakati huo huo message inaingia. Maxmalipo wajirekebishe vinginevyo wategemee nguvu ya wakubwa lakiini kwenye huduma wako slow sana
 
Hii nchi kwa matamko nadhani yaongoza
Hata mimi kesho natoa tamko kuhusiana na hasara niliyoipata na hatua za kisheria nitakazo chukua baada ya Selcom kusimamishwa kutoa huduma ya LUKU na serkali.
 
Ndiyo raha ya kucheka na wakubwa, kapanda dau la 10% kachukua deal.
Safi sana Selcom. Maxmalipo huduma zao za luku sio sharp kabisa. Ukinunua umeme kwa Maxmalipo utashangaa message inakuja baada ya saa 5 au mpaka kesho yake wakati Selcom wakati inachapisha luku na wakati huo huo message inaingia. Maxmalipo wajirekebishe vinginevyo wategemee nguvu ya wakubwa lakiini kwenye huduma wako slow sana
 
Mm nimenunua umeme sasa week imepita sijapata umeme nataka niwapeleke mahakani aise huu ni wizi kabisa.

Wengine hadi leo hatujapewa umeme tulionunua wala kurudishiwa pesa zetu.

Wamenipa namba ya kuwapigia Tanesco,hadi sasa inafika wiki toka waniambie nisubiri watanitumia umeme. Halafu namba yenyewe muda wote ipo busy.

Duuh,hawa jamaa ni wezi binafsi nilinunua umeme imeshapita wiki sasa,umee sijapata na pesa haijarudi.Ikabidi kwenda Tanesco kununua umeme mwingine
 
Back
Top Bottom