Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Nadhani wapo wenye nia ya kusaidia upinzani waziwazi lakini historia inawaogopesha.Pengine kuna wanaokumbuka vizaazaa vilivyomwandama Bakhresa kwa support yake kwa CUF...bila kumsahau yule mchimba madini wa Arusha "Askofu".Kampuni ikionyesha tu dhamira yake ya kusaidia upinzani,next day TRA wanabisha hodi kutafuta sababu ya kukwamisha biashara hiyo.Nchi inaendeshwa kisiasa (isomeke ki-CCM) mno.
Lakini tunaweza kwenda mbali zaidi kuiangalia the so-called sekta binafsi.Mengi ya makampuni binafsi yanahusishwa na uharamia unaofanywa na viongozi wa chama tawala.It goes without saying kwamba makampuni ya aina hiyo hayawezi kamwe kuwasaidia wapinzani kwani yanaelewa bayana kuwa kuimarika kwa upinzani ndio kiama kwa makampuni hayo.Sitarajii kuona Zain (isomeke Celtel) inayotuhumiwa kuendeshwa kinyemela kwa mitambo ya TTCL,au Vodacom ya RA,nk wakitoa mchango kwa chama cha upinzani.
Safari bado ni ndefu sana kwani kuna wengi wanaotamani kuiona CCM ikitawala milele ili nao waendelee kufanya biashara zao kana kwamba nchi ni yao pekee.
I do have different approach kwenye issue. Nadhani kuwaachagulia sector binafsi nani wamfund ni kuenforce ujamaa. Sector binafsi wana haki ya kutoa msaada (social responsibility) kwa mtu, watu, au kundi lolote walitakalo as long as it's with in their policy.
Kumbukeni ya kwamba sector binafsi inafahamu hatari ya kwenda different ways na chama tawala. Hii ni kwa nchi yoyote ile duniani. Corporate responsibility mara zote zina favor chama tawala zones.
Nadhani kupoint fingure kwa kuwaambia Zain au Voda society gani waisaidie ni wrong, sababu wao wana policy and regulation zao.
Ifikie wakati, mfanyabiashara akionewa eti kwa kuchangia upinzani aweze kwenda mahakamani na kuishitaki serikali. Hii itaondoa woga wa wafanyabiashara wetu.
Anzisheni fundrising ambayo haitabagua mwenye pesa na asiye na pesa, kila mwenye kidogo awachangie kwa uwezo wake.
The current position of opposition makes it a rather stupid move to openly support them, speaking from the businessman point of view, in particular because businesses tend to only care about the interests of their shareholders (as they should). This may be under the banner of social responsibility, corporate responsibility, what ever you might call it.. Big business does it only to ensure their image remains positive in the eyes of the public aka market.. Under CCM's dominance and almost negligible challenge ushered by the oposition, it makes little or no business sense to openly support the opposition.. And business sense is the chief concern of business entities, of course
The current position of opposition makes it a rather stupid move to openly support them, speaking from the businessman point of view, in particular because businesses tend to only care about the interests of their shareholders (as they should). This may be under the banner of social responsibility, corporate responsibility, what ever you might call it.. Big business does it only to ensure their image remains positive in the eyes of the public aka market.. Under CCM's dominance and almost negligible challenge ushered by the oposition, it makes little or no business sense to openly support the opposition.. And business sense is the chief concern of business entities, of course