Mwana kondoo 2025
JF-Expert Member
- Apr 6, 2025
- 495
- 580
Mimi ni mwananchi mzalendo nimesikiliza hoja za waliokuwa wajumbe wa sekretariat ya utawala uliopita Chadema na sababu za kuhama kwao sijaona hoja ya msingi.
Kikubwa nilichokiona ni kutokomaa kisiasa na kukubali mabadiliko ya uongozi. UShauri wako kwa viongozi wa juu ukikataliwa haiwezi kuwa sababu ya kugombana na kuhama chama na au kujinyanyapaa mwenyewe kwa hisia zako na kisha kusingizia kutengwa.
Kitendo walichofanya ni kujitenga na falsafa ya no reform no election waliyoiasisi wao lakini wajue baada ya kuipeleka kamati kuu na hatimaye Baraza kuu kiitasisi haikuwa yao tena ni ya chama. walipaswa kutoa ushauri kwa wajumbe ndani ya Baraza kuu waiache na si vinginevyo. Consistency ni muhimu katika kujenga chama imara.
Lissu na Heche Hongera kwa hilo!.Kikubwa ni kwamba wana sekretariati hawa wamekuwa "Agrieved" baada ya kukosa vyeo kwa uongozi mpya. Wache waende hawatakuwa na impact kubwa kama covid 19 waliowahi kuwa wabunge mara kadhaa.
Hao ndiyo wenye nguvu ya kisiasa lakini siyo Mrema na akina Singo ambao wali forge hata barua za kuwapeleka covid 19 bungeni. Wake zao wakaishia kuwa wabunge wa michongo. Enyi chadema watakieni safari njema na hili litawakomaza zaidi na kubaki na wananchi kipindi cha mbowe mliisha poteza imani ya chama kwa wananchi. Mzalendo
Soma pia
Kikubwa nilichokiona ni kutokomaa kisiasa na kukubali mabadiliko ya uongozi. UShauri wako kwa viongozi wa juu ukikataliwa haiwezi kuwa sababu ya kugombana na kuhama chama na au kujinyanyapaa mwenyewe kwa hisia zako na kisha kusingizia kutengwa.
Kitendo walichofanya ni kujitenga na falsafa ya no reform no election waliyoiasisi wao lakini wajue baada ya kuipeleka kamati kuu na hatimaye Baraza kuu kiitasisi haikuwa yao tena ni ya chama. walipaswa kutoa ushauri kwa wajumbe ndani ya Baraza kuu waiache na si vinginevyo. Consistency ni muhimu katika kujenga chama imara.
Lissu na Heche Hongera kwa hilo!.Kikubwa ni kwamba wana sekretariati hawa wamekuwa "Agrieved" baada ya kukosa vyeo kwa uongozi mpya. Wache waende hawatakuwa na impact kubwa kama covid 19 waliowahi kuwa wabunge mara kadhaa.
Hao ndiyo wenye nguvu ya kisiasa lakini siyo Mrema na akina Singo ambao wali forge hata barua za kuwapeleka covid 19 bungeni. Wake zao wakaishia kuwa wabunge wa michongo. Enyi chadema watakieni safari njema na hili litawakomaza zaidi na kubaki na wananchi kipindi cha mbowe mliisha poteza imani ya chama kwa wananchi. Mzalendo
Soma pia