Sekretarieti ya CCM: Hatua ya kwanza

Sekretarieti ya CCM: Hatua ya kwanza

wasalimie hapo mtaa wa ufipa.

Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
 
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Conflict of interest; mgongano wa kimaslahi; kwa vile sekretariat wamo wanaoyataka hayo majimbo!
 
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)

Mzee Tupa...hapo palipo na wino mwekundu ndipo wamesema UKWELI maana ni vyema waanze kujifariji na kujipanga 'kisaikolojia'....! wameshajitambua kuwa UKAWA haitawaacha 'hai' mwaka huu,...maana hata hizo nafasi za kuteuliwa na rais wao ni barafu tu, ...joto la UKAWA likikolea hii kitu inayeyuka..!
 
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)

mbona hiyo iko wazi,sisi tunachosubiri ni jina la EL,mengine ni usanii wa delay tactics
 
CCM kwa maigizo hawajambo. Kwanza mimi binafsi siamini kwamba CCM itashinda uchaguzi mkuu wa 2015.

But for the sake of argument tu assume kwamba CCM watashinda.

Rais mteule huwa ana nafasi KUMI TU za wabunge wa kuteuliwa. Usanii unaanzia hapa.

Kwa haraka angalia wana-CCM ambao tayari wametangaza nia kugombea urais ni zaidi ya 10, ambayo sasa secretariat ya CCM imewaahidi kuwazawadia nafasi KUMI za ubunge wa Rais
  1. Mizengo Pianda
  2. Edward Lowassa
  3. Mwigulu Nchemba
  4. Hamis Kigwangala
  5. Prof Mark Mwandosya
  6. William Ngereja
  7. Prof Sospeter Muhongo
  8. Prof Anna Tibaiujuka
  9. Pombe Magufuri
  10. Lazaro Nyalandu
  11. Frederick Sumaye
  12. Benard Membe
  13. Steven Wassira
  14. Samuel Sitta
  15. Harrison Mwakyembe
  16. Asha Rose Migiro
  17. January Makamba
  18. The list goes on you can add more.....

Wote hawa wameahidiwa ubunge wa Rais! CCM baadaya kuwadanganya watanzania kwa miongo mingi sasa ameamua kujidanganaya yenyewe!

Kweli ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha kamwe!

Nafasi za mabalozi pia zipo!!!
 
CCM kwa maigizo hawajambo. Kwanza mimi binafsi siamini kwamba CCM itashinda uchaguzi mkuu wa 2015.

But for the sake of argument tu assume kwamba CCM watashinda.

Rais mteule huwa ana nafasi KUMI TU za wabunge wa kuteuliwa. Usanii unaanzia hapa.

Kwa haraka angalia wana-CCM ambao tayari wametangaza nia kugombea urais ni zaidi ya 10, ambayo sasa secretariat ya CCM imewaahidi kuwazawadia nafasi KUMI za ubunge wa Rais
  1. Mizengo Pianda
  2. Edward Lowassa
  3. Mwigulu Nchemba
  4. Hamis Kigwangala
  5. Prof Mark Mwandosya
  6. William Ngereja
  7. Prof Sospeter Muhongo
  8. Prof Anna Tibaiujuka
  9. Pombe Magufuri
  10. Lazaro Nyalandu
  11. Frederick Sumaye
  12. Benard Membe
  13. Steven Wassira
  14. Samuel Sitta
  15. Harrison Mwakyembe
  16. Asha Rose Migiro
  17. January Makamba
  18. The list goes on you can add more.....

Wote hawa wameahidiwa ubunge wa Rais! CCM baadaya kuwadanganya watanzania kwa miongo mingi sasa ameamua kujidanganaya yenyewe!

Kweli ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha kamwe!

Kuna majina matatu umeteleza.
Prof Anna Tibaijuka, Dr Harrison Mwakyembe na Dr Asharose Migiro, hawa wote hawajawahi hata siku moja hata kuonesha nia ya kuutaka urais. Acha kupotosha umma.
 
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)

Sijawahi kukuamini tangu ulimwengu kuumbwa ila kama ccm watakua wamesema haya hakika nitaamini chama kina watu wanaakili ambazo sijawahi kuona wote wataikimbia nafasi hiyo na kubaki nawaona wa tano tuu nao ni

LOWASSA
MEMBE
PINDA
MWANDOSYA
MAGUMU I
SITA
KWISHA KAZI WENGINE WOTE WANAJUA URAIS HATA WAFANYEJE HAWAPATI
 
Sijawahi kukuamini tangu ulimwengu kuumbwa ila kama ccm watakua wamesema haya hakika nitaamini chama kina watu wanaakili ambazo sijawahi kuona wote wataikimbia nafasi hiyo na kubaki nawaona wa tano tuu nao ni

LOWASSA
MEMBE
PINDA
MWANDOSYA
MAGUMU I
SITA
KWISHA KAZI WENGINE WOTE WANAJUA URAIS HATA WAFANYEJE HAWAPATI

Huyo ni Bavicha
 
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)

MKUU Vuta nikuvute naomba nikuulize kitu,je wale waliotangaza nia ya Uraisi na Pia wakasema wakikosa Uraisi watarudi Kugombea Ubunge! Tena wengine wapo kamati kuu,je na Wao hii inawahusu?Sidhani Kama itapita hii,
 
CCM kwa maigizo hawajambo. Kwanza mimi binafsi siamini kwamba CCM itashinda uchaguzi mkuu wa 2015.

But for the sake of argument tu assume kwamba CCM watashinda.

Rais mteule huwa ana nafasi KUMI TU za wabunge wa kuteuliwa. Usanii unaanzia hapa.


Wote hawa wameahidiwa ubunge wa Rais! CCM baadaya kuwadanganya watanzania kwa miongo mingi sasa ameamua kujidanganaya yenyewe!

Kweli ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha kamwe!

Sasa sijui kama mara hii watawaahidi tena Watanzania Waislamu Mahakama ya KADHI na Waislamu wawakubalie. Tamthliya imeanza?
 
Back
Top Bottom