MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
vua nikuvute ni mwenyeji wa rombo
kwahiyooo ???
untaka kumdhalilisha si ndioo???
vua nikuvute ni mwenyeji wa rombo
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.
Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.
Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Conflict of interest; mgongano wa kimaslahi; kwa vile sekretariat wamo wanaoyataka hayo majimbo!Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.
Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.
Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.
Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.
Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.
Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.
Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
CCM kwa maigizo hawajambo. Kwanza mimi binafsi siamini kwamba CCM itashinda uchaguzi mkuu wa 2015.
But for the sake of argument tu assume kwamba CCM watashinda.
Rais mteule huwa ana nafasi KUMI TU za wabunge wa kuteuliwa. Usanii unaanzia hapa.
Kwa haraka angalia wana-CCM ambao tayari wametangaza nia kugombea urais ni zaidi ya 10, ambayo sasa secretariat ya CCM imewaahidi kuwazawadia nafasi KUMI za ubunge wa Rais
- Mizengo Pianda
- Edward Lowassa
- Mwigulu Nchemba
- Hamis Kigwangala
- Prof Mark Mwandosya
- William Ngereja
- Prof Sospeter Muhongo
- Prof Anna Tibaiujuka
- Pombe Magufuri
- Lazaro Nyalandu
- Frederick Sumaye
- Benard Membe
- Steven Wassira
- Samuel Sitta
- Harrison Mwakyembe
- Asha Rose Migiro
- January Makamba
- The list goes on you can add more.....
Wote hawa wameahidiwa ubunge wa Rais! CCM baadaya kuwadanganya watanzania kwa miongo mingi sasa ameamua kujidanganaya yenyewe!
Kweli ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha kamwe!
Kwa hio Mzee Six OUT.....!!!
CCM kwa maigizo hawajambo. Kwanza mimi binafsi siamini kwamba CCM itashinda uchaguzi mkuu wa 2015.
But for the sake of argument tu assume kwamba CCM watashinda.
Rais mteule huwa ana nafasi KUMI TU za wabunge wa kuteuliwa. Usanii unaanzia hapa.
Kwa haraka angalia wana-CCM ambao tayari wametangaza nia kugombea urais ni zaidi ya 10, ambayo sasa secretariat ya CCM imewaahidi kuwazawadia nafasi KUMI za ubunge wa Rais
- Mizengo Pianda
- Edward Lowassa
- Mwigulu Nchemba
- Hamis Kigwangala
- Prof Mark Mwandosya
- William Ngereja
- Prof Sospeter Muhongo
- Prof Anna Tibaiujuka
- Pombe Magufuri
- Lazaro Nyalandu
- Frederick Sumaye
- Benard Membe
- Steven Wassira
- Samuel Sitta
- Harrison Mwakyembe
- Asha Rose Migiro
- January Makamba
- The list goes on you can add more.....
Wote hawa wameahidiwa ubunge wa Rais! CCM baadaya kuwadanganya watanzania kwa miongo mingi sasa ameamua kujidanganaya yenyewe!
Kweli ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha kamwe!
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.
Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.
Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Sijawahi kukuamini tangu ulimwengu kuumbwa ila kama ccm watakua wamesema haya hakika nitaamini chama kina watu wanaakili ambazo sijawahi kuona wote wataikimbia nafasi hiyo na kubaki nawaona wa tano tuu nao ni
LOWASSA
MEMBE
PINDA
MWANDOSYA
MAGUMU I
SITA
KWISHA KAZI WENGINE WOTE WANAJUA URAIS HATA WAFANYEJE HAWAPATI
Huyo ni Bavicha
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.
Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.
Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
CCM kwa maigizo hawajambo. Kwanza mimi binafsi siamini kwamba CCM itashinda uchaguzi mkuu wa 2015.
But for the sake of argument tu assume kwamba CCM watashinda.
Rais mteule huwa ana nafasi KUMI TU za wabunge wa kuteuliwa. Usanii unaanzia hapa.
Wote hawa wameahidiwa ubunge wa Rais! CCM baadaya kuwadanganya watanzania kwa miongo mingi sasa ameamua kujidanganaya yenyewe!
Kweli ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha kamwe!