Mtendaji wa kaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 334
- 57
Ni bora kuwa na taarifa sahihi kuhusu mchakato wa ajira unavyoendelea kwa kila usaili unaofanyika,kwa mfano usaili wa mwezi wa sita kuanzia tarehe 14-21 walisema watatoa majibu ndani ya wiki mbili cha ajabu sasa ni mwezi umeisha wapo kimya tunaomba mtupe taarifa hata kama si ya kuitwa kazini umma ujue kinachoendelea kukaa kimya si vizuri kwenye taasisi inayoendeshwa kwa kodi zetu