Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
TANGAZO LA KUITWA KAZINI
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali za Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) na Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) waliofanya usaili tarehe 3, 7 na 8 Novemba, 2017 kuwa matokeo ya usaili yamekwishaidhinishwa na waombaji kazi waliofaulu usaili huo na kupendekezwa kutumwa kwa Mwajiri ni kama yalivyoorodheshwa katika Tangazo hili
Kwa wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa
Kwa orodha kamili ya walioitwa kazini, Bofya HAPA