Hotuba ya Nape imenikosha kwani ameelezea mpango mkakati mzuri sana uloandaliwa na CCM ili kuisimamia Serikali wanayoingoza. Hasa pale aliposema hivi sasa wameitaka serikali kuja na Budget itakayoondoa makali ya maisha. Kwa hili tuwapongeze! Angalau wameanza kuonyesha kuwajibika!
WELL DONE Nauye!
Hivi siasa za bongo imekua kushindanisha umati wa watu? Chadema mambo ya kujaza watu hata kwenye kampeni za uchaguzi mkuu ilikua hivyo hivyo mkapigwa!
Hivi siasa za bongo imekua kushindanisha umati wa watu? Chadema mambo ya kujaza watu hata kwenye kampeni za uchaguzi mkuu ilikua hivyo hivyo mkapigwa!
Umesahau kwamba shughuli ni watu,kama huna watu utapataje maendeleo na ili tuendelee tunahitaji vitu vinne Watu, ardhi siasa safi na uongozi bora.Hivi siasa za bongo imekua kushindanisha umati wa watu? Chadema mambo ya kujaza watu hata kwenye kampeni za uchaguzi mkuu ilikua hivyo hivyo mkapigwa!
Chadema mambo ya kujaza watu hata kwenye kampeni za uchaguzi mkuu ilikua hivyo hivyo mkapigwa!
Hata hao watoto waliowakatiza masomo hawana hata viatu wala uniform unawaeleza nini maisha bora?Naona wameamua kutumia mbinu mpya ili kubana matumizi na kuepuka kuzomewa.Watoto gharama yao ndogo ni pipi tu maandazi au uji ,ukichunguza katika picha hiyo sare za kijani na khanga almost hazipo.MANTIKI YA CCM HAINIINGII KICHWANI MUNGU IBARIKI TANZANIA
Ujivue gamba kwanza ndio uingie JF PAMBAFFFUUUUU!!!!!!!!!Hotuba ya Nape imenikosha kwani ameelezea mpango mkakati mzuri sana uloandaliwa na CCM ili kuisimamia Serikali wanayoingoza. Hasa pale aliposema hivi sasa wameitaka serikali kuja na Budget itakayoondoa makali ya maisha. Kwa hili tuwapongeze! Angalau wameanza kuonyesha kuwajibika!
WELL DONE Nauye!
Hiyo picha imechakachuliwa.
Nimeona TBC1 kulikuwa na watu wengi wenye umri mkubwa tena walikuwa wamevaa nguo za CCM. Wengi wa walokuwa wamekaa mbele walikuwa kwenye viti. hivo hiyo si picha halisi ya laela.
tukubali jamaa alipata watu wengi. Sababu ya kupata watu wengi ni kwamba amefanya mkutano wake kwenye eneo la ujenzi wa barabara ya Tunduma Laela ambako watu wamefurahi kupelekewa miundombinu hivyo kuhudhulia kwa wingi wakidhani kuna kingine zaidi ya hiyo barabara.