Seif Sharifu Hamad anasubiri nini kujitoa?

Seif Sharifu Hamad anasubiri nini kujitoa?

shujaa

Member
Joined
Jul 10, 2009
Posts
64
Reaction score
18
Seif Sharifu Hamad na viongozi wengine (CUF) waliopo katika Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, wanatakiwa kuwaunga mkono wana UKAWA kwa kujitoa katika hiyo serikali, Maana CUF na Sharifu ndio wameshambuliwa zaidi na LUKUVI kuwa ni UAMSHO.

Kwa sasa Sharif aache tabia yake ya kuchochea mambo wakati yeye anaendelea kula matunda ya Serikali, na haileti picha nzuri kuendelea kufanya kazi na INTARAHAMWE kwa mujibu wa Lipumba.
 
hio ndio mbinu yao ccm wanataka wajitoe ili wapate njia muafaka ya kuiba kura kwa nguvu..
hapo cuf wameibana ccm kikatiba hivyo ni njia moja ya kuwashinda
 
kuhusu tu CUF kuwa ni uamsho kuna ukweli, nina ushahidi, kuna mtu nmafaham vizuri, ni mwna CUF na huwa akienda znz anatrain kabisa na hao uamsho, mapiagano n.k inawezekana CCM wanakosea ila hiyo hoja ya uamsho ina ukweli tusifiche uovu mmoja kwa uovu mwingine shujaa
Hata mimi nakuunga mkono ... tuwe makini sana kwenye huu mkanganyiko. Ijulikane wazi kuwa nia ya ukawa kutoka si kauli ya lukuvi ila ni ccm kung'ang'ania maoni yao badala ya tume ambayo yametolewa na wananchi
 
Mkuu, hizi ni siasa tu, jiulize kwanini walichukua kwanza posho ya hadi tarehe 30 ndipo wakajitoa? Hivyo hata Hamad awezi kuacha uraji wake eti ili aonekane ktk jamii kua ni shujaa. Sio ajabu hata hao waliosusa wakarudi tena hapo mwezi wa8.
 
Kama ni uamsho si mliwapa kesi sasa kama ni cuf si muwabane huko mahakamani?? Nakumbushia mada hapa ni katiba mpya na hatima yetu tuwe makin kwani cuf wamethibitisha hilo kama anavyo thibitisha lukuvi wenu hasira zake juu ya uislam na wazanzibar.
 
Muwafaka hauna tena mantiki kwa sasa wapi serikali ya umoja wa kitaifa?
 
Mkuu, hizi ni siasa tu, jiulize kwanini walichukua kwanza posho ya hadi tarehe 30 ndipo wakajitoa? Hivyo hata Hamad awezi kuacha uraji wake eti ili aonekane ktk jamii kua ni shujaa. Sio ajabu hata hao waliosusa wakarudi tena hapo mwezi wa8.
Posho za wiki hii zimetoka leo na sio jana kama Nnape alivyouaminisha Ulimwengu..........LUkuvi ndio alitoa siri wakati a namwambia Sita kuwa alimtuma hazina na sasa mabo yak poa...
 
Seif Sharifu Hamad na viongozi wengine (CUF) waliopo katika Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, wanatakiwa kuwaunga mkono wana UKAWA kwa kujitoa katika hiyo serikali, Maana CUF na Sharifu ndio wameshambuliwa zaidi na LUKUVI kuwa ni UAMSHO.

Kwa sasa Sharif aache tabia yake ya kuchochea mambo wakati yeye anaendelea kula matunda ya Serikali, na haileti picha nzuri kuendelea kufanya kazi na INTARAHAMWE kwa mujibu wa Lipumba.

.
Kwa kuangalia ukweli na uhalisia wa mambo wanaotakiwa kujiondoa katika serikali nchini Zanzibar ni ciciem kwa mantiki hii kwamba Seif ndie aliyeshinda kiti cha urais.
Ciciem kama maneno ya Lissu yalivyo, vya kuchinja hawawezi bali vya kunyonga.
Shein ametajwa kuwa rais nchini Zanzibar isivyo halali.
A.K VYA KUNYONGA!!
.
 
Seif Sharifu Hamad na viongozi wengine (CUF) waliopo katika Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, wanatakiwa kuwaunga mkono wana UKAWA kwa kujitoa katika hiyo serikali,..


seifu sharifu hawezi kufanya hivyo.kashawasaliti waznz siku nyingi sana.tayari kashaingia ktk mfumo wa CCM anaofaidika nao kimaslahi.
 
Back
Top Bottom