Ashura9
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 740
- 485
Kama mtu ameshiriki tendo la ndoa na zaidi ya watu 8 hana haki ya kuita kiungo hicho SEHEMU ZA SIRI bali ni mali ya UMMA chini ya Wizara ya Utalii na Burudani.
Kama ni zaidi ya 10 basi ni mali ya UMOJA WA MATAIFA kitengo cha misaada. Zaidi ya 15 unastahili kufikishwa mahakama kuu kwa matumizi mabaya ya neno SEHEMU ZA SIRI.
Kama ni zaidi ya 10 basi ni mali ya UMOJA WA MATAIFA kitengo cha misaada. Zaidi ya 15 unastahili kufikishwa mahakama kuu kwa matumizi mabaya ya neno SEHEMU ZA SIRI.