View attachment 93739
kwa wasio mjua ni huyo hapo,ni mzushi mpenda sifa na kujipendekeza
sasa huyu nae mrembo?demu lenyewe bayaaaaa!!serukamba wee!!na wewe lukosi usipende kutumiwa kama ile mipira yetu ya kivulana
View attachment 93739
kwa wasio mjua ni huyo hapo,ni mzushi mpenda sifa na kujipendekeza
Hivi nyie misukule wazima kweliHuyu dada anakaa London hipi na anafanya kazi gani. Kesi ya kubaka UK mtu asingekuwa huru mpaka sasa. Hiyo kesi mpaka sasa hivi mtuhumiwa angekuwa ndani. Uongo mwingine hauna maana.
Hivi watu wa UK kwa nini tusimtenge Chris Lukosi na Serengeti yake ndo ajue ubaya ubaya tu? Huyu jamaa njaa na kupenda masifa kunampeleka pabaya
View attachment 93739
kwa wasio mjua ni huyo hapo,ni mzushi mpenda sifa na kujipendekeza
Mkuu kubaka abake Kamanda , sasa mimi inanihusu nini?
Nilimuonya hakunisikia sasa anakosa usingizi.
Uyu Mbuzi kaileta hii thread jukwaa la siasa kaona hapati wachangiaji kaamua kuileta uku.,naona na wewe unatafuta bwana