mkuu hii muvi ni heshima.
Wakuu wana JF,
Naomba mwenye kufahamu a suggest sehemu gani nzuri kwa hapa Dar ambayo imetulia naweza kwenda siku za weekend ambapo naweza kukaa na Laptop yangu nikafanya ishu ndogo ndogo, surfing etc huku nikiwa nakunywa maji au juice or even drinking beer etc.
1. Yaweza kuwa sehemu yenye mandhari nzuri or ukumbi flan etc
2. Pawe pana access ya Umeme
3. Pawe pana Parking
Nitashukuru kwa mwenye uwezo wa kushauri eneo hilo.
Asanteni
Cheki kulivyotulia, jamani kitu mji kasoro bahari raha ilioje huku. Karibuni
Kamanda naona signature yako "We are anonymous, we are legion. We donot forgive. We do not forget. Expect us" ni ya wale jamaa wanaharakati wa Freedom and Privacy of the internet au maarufu kwa jina la "Anonymous" wakivalia Guy Fawkes mask...nakupongeza kwa kuona uhitaji wa maneno haya katika spirit ya kiana harakati.
Napenda uangalie movie ya "V for Vendetta" ili uipalilie vizuri spirit hiyo...so inspirational!!!
Kila la Heri...
hutakaa uifute mkuu hiyo ni kiboko mkuu..Asante sana mkuu, naidownload hapa!
Njoo mji kasoro bahari ujionee
Kamanda naona signature yako "We are anonymous, we are legion. We donot forgive. We do not forget. Expect us" ni ya wale jamaa wanaharakati wa Freedom and Privacy of the internet au maarufu kwa jina la "Anonymous" wakivalia Guy Fawkes mask...nakupongeza kwa kuona uhitaji wa maneno haya katika spirit ya kiana harakati.
Napenda uangalie movie ya "V for Vendetta" ili uipalilie vizuri spirit hiyo...so inspirational!!!
Kila la Heri...
Mkuu, shukrani kwa kuweka wazi hii muvi, maana mi mgonjwa wa vitu hivi vya kujifunza vitu viwili vitatu!