Sehemu gani safi kwa kula raha bukoba

Sehemu gani safi kwa kula raha bukoba

Mbangubangu

Senior Member
Joined
May 6, 2013
Posts
188
Reaction score
70
Wadau nina safari ya siku mbili ktk mji wa bukoba wkend hii wapi sehemu safi kula bata.
 
walkgard au victoria peck pako poa...bukoba club baridi sana usiku..au nenda kwa remy nyamkazi
 
Jioni nenda eneo la Bukoba club , hapo utaburudika na ndizi, nyama choma na vinywaji , ikifika mida ya sa 5 usiku ndo kumekucha unaingizana viwanja vya Linas night club kucheza mziki mpaka sa 8 usiku , unatoka nje ya club unavuka barabara unaingia Victorious Perch Hotel kupata usingizi mwanana.
 
Cofee tree hotel ni nzuri sana.Ujiandae kila chakula lazima uweke oda
 
Jioni nenda eneo la Bukoba club , hapo utaburudika na ndizi, nyama choma na vinywaji , ikifika mida ya sa 5 usiku ndo kumekucha unaingizana viwanja vya Linas night club kucheza mziki mpaka sa 8 usiku , unatoka nje ya club unavuka barabara unaingia Victorious Perch Hotel kupata usingizi mwanana.

Lolz umechambua vyema
 
Back
Top Bottom