Mkuu kilimo gani sasa maana hujabainisha mhogo au mchichaHabari wana JF,
Je ndani ya Kanda ya ziwa ni maeneo gani bora kwaajili ya kilimo chenye tija na je mashamba yenye udongo wenye rutba yanapatikana sehemu Gani??
Kanda ya ziwa ni kwa ajili ya kilimo cha mtama, ulezi, Viazi,Habari wana JF,
Je ndani ya Kanda ya ziwa ni maeneo gani bora kwaajili ya kilimo chenye tija na je mashamba yenye udongo wenye rutba yanapatikana sehemu Gani??