Seeking a woman to chat with.

Siyo kama wamenifuma mkuu. Mimi ni mwanachama wa sikunyingi Jf. Haya yote nilijua yatatokea tu. Ningeweza ku-regist ID mpya na kutuma hii post. Lakini dhamira yangu ilisema hapana. Nikawa tayari kwa yanayojitokeza. Kuhusu umri, nikiri hata ile 39 si kweli. Nilikadiria aina ya marafiki nonaopenda, nikaweka umri huo. Atakayekuja inbox atajua umri wangu, ataamuwa.
Sawa mkuu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom