seeders and leechers

seeders and leechers

atrash

Member
Joined
May 1, 2011
Posts
75
Reaction score
14
habari wana jf naomba mnijuze kattika torrent sites hawa seeders ni watu gani na hawa leechers ni watu gani na kwanini mtu ukitaka ku download unatakiwa u download file lenye seeders wengi kwanini isiwe kwenye leechers ?
au ni watu gani ndio wanaruhusiwa ku download kwenye leechers ? au kuna vigezo gani

nawatakia kila la kweri na mwaka mpya
 
if you're using one of the torrent- downloader software, as a downloader, you're basically a "leecher". after you've downloaded the file, and leave it on, this becomes available for other users to download (thus "sharing" occurs), you are basically a seeder. so normally, having many seeders for a torrent download is good, because you can download the files faster.
nazani umeelewa mzee..!!
 
leechers - watu wanaodownload vipande vya file toka kwako au watu wengine ambao wameshapakua vipande hivyo

seeders - watu walio na vipande ambavyo vimepakuliwa tayarina wamevi share unaweza vipakua

unaweza kuelewa sasa?
 
leechers - watu wanaodownload vipande vya file toka kwako au watu wengine ambao wameshapakua vipande hivyo

seeders - watu walio na vipande ambavyo vimepakuliwa tayarina wamevi share unaweza vipakua

unaweza kuelewa sasa?

Nakubaliana na wewe.
kwa kuongezea unapo 'download' unapakua toka kwa seeders na leechers wenye vipande ambavyo hauna na
huwezi kupata file zima kama hamna seeders maana leechers hawana file lililokamilika
 
Back
Top Bottom