atrash
Member
- May 1, 2011
- 75
- 14
habari wana jf naomba mnijuze kattika torrent sites hawa seeders ni watu gani na hawa leechers ni watu gani na kwanini mtu ukitaka ku download unatakiwa u download file lenye seeders wengi kwanini isiwe kwenye leechers ?
au ni watu gani ndio wanaruhusiwa ku download kwenye leechers ? au kuna vigezo gani
nawatakia kila la kweri na mwaka mpya
au ni watu gani ndio wanaruhusiwa ku download kwenye leechers ? au kuna vigezo gani
nawatakia kila la kweri na mwaka mpya