Bodabodafasta
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 372
- 372
- Thread starter
- #21
Asikie tu kwa wengine haya mambo unaweza kuta unabdili gia angani
Asikie tu kwa wengine haya mambo unaweza kuta unabdili gia angani
Nafasi zetu ikitoka moja tunaomba 1000...sio mchezoMkuu labda ni bahati tu,mimi nilifanya interview pale mara ya kwanza tu nikapata na sikua na refa,tulikua 150 na walikua wanatakiwa watu 25 tu,hivyo ni wazi watu 125 hawawezi kupata nafasi. Nadhani tuzingatie na uhitaji wa nafasi husika,ila jamaa wanajitahidi sana kua wawazi. Mnaweza kufaulu wengi ila nafasi zikawa chache sio rahisi kupita wote.
Bomba Mvua
Ndo hivyo aisee,tatizo ajira hazijatoka muda mrefu,so watu ni wengi hasa.Nafasi zetu ikitoka moja tunaomba 1000...sio mchezo
Ni wengi mno na bado wanazidi kuzalishwa vyuoniNdo hivyo aisee,tatizo ajira hazijatoka muda mrefu,so watu ni wengi hasa.
Bomba Mvua
Hata mim siwaelewi hawa Utumishi ...Baada ya kufanya usahili wa mtihani pale duce siku ya jumamosi iliyopita nilidhani ndo wakati wangu wakupata kazi maana maswali yalikuwa ni dhahiri na nilijibu yote kwa ufasaha; ila matokeo yameniangusha ile mbaya.
Kwa hakika sijawaelewa kabisa hawa jamaa wa utumishi..
Naona kuna tatizo kitengo cha usahihishaji wa mitihani maana matokeo ya wengi hayaendani na walichofanya.
Acha mbwembwe wewe kuna mda ni kismart tu unaweza ukajibu vizuri na ukajikuta unakosa kazi hizo kazi hazitabiriki futa kauli yako ila dhidi tu kumuomba Mungu wako tu atimize haja yako usiwe unaishia Written tulowahi ingia ORAL tunaelewa hili boss.Yaani unafika kwenye mahojiano unakwama?? Mimi nikifika kwenye mahojiano ni green light kwangu hiyo nakuwa sizuuliki na chochote
Ngoja niweke akiba ya mànenoAcha mbwembwe wewe kuna mda ni kismart tu unaweza ukajibu vizuri na ukajikuta unakosa kazi hizo kazi hazitabiriki futa kauli yako ila dhidi tu kumuomba Mungu wako tu atimize haja yako usiwe unaishia Written tulowahi ingia ORAL tunaelewa hili boss.
Ni watu wengi wanatuzingua ni vile hakuna jinsi
Mimi nimeitwa Kwenye usaoli wa Mchujo kada Ya Liquorer officer II, siyo mzoefu na saili zao, naomba Mfumo wa maswali yao(Format)Mkuu labda ni bahati tu,mimi nilifanya interview pale mara ya kwanza tu nikapata na sikua na refa,tulikua 150 na walikua wanatakiwa watu 25 tu,hivyo ni wazi watu 125 hawawezi kupata nafasi. Nadhani tuzingatie na uhitaji wa nafasi husika,ila jamaa wanajitahidi sana kua wawazi. Mnaweza kufaulu wengi ila nafasi zikawa chache sio rahisi kupita wote.
Bomba Mvua