Secretariat ya ajira; simani ninachokiona

Secretariat ya ajira; simani ninachokiona

Bodabodafasta

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
372
Reaction score
372
Baada ya kufanya usahili wa mtihani pale duce siku ya jumamosi iliyopita nilidhani ndo wakati wangu wakupata kazi maana maswali yalikuwa ni dhahiri na nilijibu yote kwa ufasaha; ila matokeo yameniangusha ile mbaya.

Kwa hakika sijawaelewa kabisa hawa jamaa wa utumishi..

Naona kuna tatizo kitengo cha usahihishaji wa mitihani maana matokeo ya wengi hayaendani na walichofanya.
 
Baada ya kufanya usahili wa mtihani pale duce siku ya jumamosi iliyopita nilidhani ndo wakati wangu wakupata kazi maana maswali yalikuwa ni dhahiri na nilijibu yote kwa ufasaha; ila matokeo yameniangusha ile mbaya.

Kwa hakika sijawaelewa kabisa hawa jamaa wa utumishi..

Naona kuna tatizo kitengo cha usahihishaji wa mitihani maana matokeo ya wengi hayaendani na walichofanya.
-Paper za Utumishi Jibu kwa Kifupi kadri Uwezavyo
-Acha kuleta Ujuaji sijui unataka kujaza karatasi 20 kama somo la Historia
-Acha kujiona utaonewa au Unaonewa
-Acha kuweka matumaini 100% ya hiyo kazi kama umeomba peke yako
-Heshimu washindani wako
 
-Paper za Utumishi Jibu kwa Kifupi kadri Uwezavyo
-Acha kuleta Ujuaji sijui unataka kujaza karatasi 20 kama somo la Historia
-Acha kujiona utaonewa au Unaonewa
-Acha kuweka matumaini 100% ya hiyo kazi kama umeomba peke yako
-Heshimu washindani wako
Asante kwa ushahuri nitazingatia mkuu, ila kwa nilivyojaza ngoja nijitie moyo next time nitafanya jambo
 
sikufanikiwa washawishi mkuu ila ukisema sijui haunitendea haki kama ndugai kwa CAG niko vzr sema wakat mwingine unafanyiwa usaili mwishoni wao washapata wanao wahitaji toka mwanzo.
Utumishi hicho kitu Ni nadra anabebwa anayebebeka.. We kwenye maswali ya professional huwa unayamudu yote bila doubt? Au Unashindwa kwenye STAR QNS?? Au vice versa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-Paper za Utumishi Jibu kwa Kifupi kadri Uwezavyo
-Acha kuleta Ujuaji sijui unataka kujaza karatasi 20 kama somo la Historia
-Acha kujiona utaonewa au Unaonewa
-Acha kuweka matumaini 100% ya hiyo kazi kama umeomba peke yako
-Heshimu washindani wako
Asante kwa ushahuri nitazingatia mkuu, ila kwa nilivyojaza ngoja nijitie moyo next time nitafanya jambo
 
sikufanikiwa washawishi mkuu ila ukisema sijui haunitendea haki kama ndugai kwa CAG niko vzr sema wakat mwingine unafanyiwa usaili mwishoni wao washapata wanao wahitaji toka mwanzo.
Hao jamaa wana vitu vingi sana ambavyo vinaonesha madhaifu na hakuna namna ya kukata rufaa
 
wale jamaa wako fair sana katika usahihishaji wao. nimeitwa mara 2-3 zote natoboa mziki unakuwa usaili wa mahojiano.

kama si kusuasua kwa ajira, ngeshatoboa kitambo. jipange mkuu mambo yataenda sawa
Yaani unafika kwenye mahojiano unakwama?? Mimi nikifika kwenye mahojiano ni green light kwangu hiyo nakuwa sizuuliki na chochote
 
Hao jamaa wana vitu vingi sana ambavyo vinaonesha madhaifu na hakuna namna ya kukata rufaa
Zingatia uliyoambiwa na troll. Wale sio wajinga kukupa maswali mafupi fupi na karatasi moja wewe utake kujaza mavitu mengi.kuleta ujuaji.. Utumishi wanajitahid Sana Kama huna gundu lolote na unajua kweli utateleza tuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kufanya usahili wa mtihani pale duce siku ya jumamosi iliyopita nilidhani ndo wakati wangu wakupata kazi maana maswali yalikuwa ni dhahiri na nilijibu yote kwa ufasaha; ila matokeo yameniangusha ile mbaya.

Kwa hakika sijawaelewa kabisa hawa jamaa wa utumishi..

Naona kuna tatizo kitengo cha usahihishaji wa mitihani maana matokeo ya wengi hayaendani na walichofanya.
Mkuu unaposema matokeo ya wengi,ina maana ulikua unaangalia wenzio wanavyojaza? Naomba kueleweshwa hapo.

Bomba Mvua
 
Zingatia uliyoambiwa na troll. Wale sio wajinga kukupa maswali mafupi fupi na karatasi moja wewe utake kujaza mavitu mengi.kuleta ujuaji.. Utumishi wanajitahid Sana Kama huna gundu lolote na unajua kweli utateleza tuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejitahidi kuwa short and clear, ila mambo ndo hivyo sio poa; acha nifanye kama rejea yangu
 
Mkuu unaposema matokeo ya wengi,ina maana ulikua unaangalia wenzio wanavyojaza? Naomba kueleweshwa hapo.

Bomba Mvua
Nimefuatilia jamaa niliomaliza nao kama kumi washahudhuria hizi kama 10 hivi zote wanaishia written mpaka wengine wameachana na utumushi mkuu
 
Nimefuatilia jamaa niliomaliza nao kama kumi washahudhuria hizi kama 10 hivi zote wanaishia written mpaka wengine wameachana na utumushi mkuu
Mkuu labda ni bahati tu,mimi nilifanya interview pale mara ya kwanza tu nikapata na sikua na refa,tulikua 150 na walikua wanatakiwa watu 25 tu,hivyo ni wazi watu 125 hawawezi kupata nafasi. Nadhani tuzingatie na uhitaji wa nafasi husika,ila jamaa wanajitahidi sana kua wawazi. Mnaweza kufaulu wengi ila nafasi zikawa chache sio rahisi kupita wote.

Bomba Mvua
 
Utumishi hicho kitu Ni nadra anabebwa anayebebeka.. We kwenye maswali ya professional huwa unayamudu yote bila doubt? Au Unashindwa kwenye STAR QNS?? Au vice versa?

Sent using Jamii Forums mobile app
kati ya izo 3 kuna moja majibu yalitoka kiaina 'ilikuwa katibu tawala nafasi 15' yakaitwa majina 7 (kulingana na nafasi zilizo patikana) baada ya hapo sikuona kuitwa kazini tena.

ajira zikianza mambo yatakuwa mukidee mkuu sina wasiwasi
 
Back
Top Bottom