Second selection za NACTE zinaweza kutoka lini?

Second selection za NACTE zinaweza kutoka lini?

Wadau mbona profile yangu inaonesha hv alafu hata sichaguliwi
Nikiatach hyo rangi ya njano katika picha hapo juu inatokea kamainavyoonekana hii picha hapa chini. Kwani hayo nilazima kuyajaza au kwanyie kama ulijaza nacte mlijaza vitu kama hivyo vinavyoonekana hapo kwa profile hapo chini
 

Attachments

  • 1474426829085.png
    1474426829085.png
    26 KB · Views: 58
unaambiwa usubirie ww wait uta pewa updates any time
Ila kweli wajomba tangu ilo neno la wait for next selection waliweke kwenye profile ni muda sana aisee wangetupa majibu kwamba tunachaguliwa au hatuchaguliwi tujue moja
 
we umesha chaguliwa
Wengine administration Status inasema plz wait for next selection
yako we ilikuwa hivi kabla au
tuambie
Hata mm profile yangu inaonesha hivyo hvyo wait for next selection lakini nikiingia walipo andika profile ndo nakuta image hyo bro @@MEKADDISHKEM Kwahyo hatuna utofaut
 
Mmeambiwa deadline ya application ni 23rd. Sasa hawatatoa matokeo hadi deadline ya ku apply ifike. Kwahiyo muwe na subira acheni mchecheto
 
Ila nacte pia kuna batch hyo inaonesha 23 mwisho ila dip na certificate deadline ishapita
 
Ww kilaza kweli unajijuwa umefeli huku unaulizia shida yako huna kiwango ila humu hukauki kama bahari
 
Back
Top Bottom