Second selection za NACTE zinaweza kutoka lini?

Second selection za NACTE zinaweza kutoka lini?

Attachments

  • 1474262021221.png
    1474262021221.png
    33.1 KB · Views: 40
This not fair huwez tangaza deadline halafu kabla ya deadline unatoa maamuz
 
Ww muda unaenda basi wangetujb kwa sms coz tuliweka no. Zetu pale chini wanazo @wanatupa pressure tuuuuuu
 
sorry joh cio nacte wanachagua watu ila vyuo ulivyo chaguaa ndio wanakuchagua ndio maana watu wengine majibu tiar coz chuo kimesha comfirm ayo majina ya kwamba unavigezo ww angalia web za ivyo vyuo ulivyo chaguwa ukikuta vyote wamesha to majina na lako alipo jua bac wamekuacha uwondio mxaada wngu
kwa iyo wale tulio apply dead line ya 15/09
selection zetu Hakuna au
 
Ww muda unaenda basi wangetujb kwa sms coz tuliweka no. Zetu pale chini wanazo @wanatupa pressure tuuuuuu
mambo yanaenda kimya sijui kwanini,, mimi kwenye profile yangu naambiwa bado nisubiri hakikisho kutoka chuo husika,, lakini tayari nimetumiwa joining instruction
 
mambo yanaenda kimya sijui kwanini,, mimi kwenye profile yangu naambiwa bado nisubiri hakikisho kutoka chuo husika,, lakini tayari nimetumiwa joining instruction
Sasa mbona wanatufanyia hivi lakn. Dooooh
 
Kwa wanaosubiri second selection za nacte zinakaribia kutoka kwa walio apply tarehe 10-15. Na wale walio apply upya ambao hawakuchaguliwa mara ya kwanza next selection zinatoka nadhani ndani ya week hii
 
Wadau mbona profile yangu inaonesha hv alafu hata sichaguliwi
 

Attachments

  • 1474426707561.png
    1474426707561.png
    34.1 KB · Views: 42
Back
Top Bottom