IDDI SHAFII
Member
- Oct 26, 2012
- 37
- 8
kwa wale mliokosa first round TCU kuwen wavumiliv TCU wafanye kaz zao kwa umakin sio kaz rahisi kuwapanga wanafunzi .tunatarajia wiki ijayo selection zitatoka na kila aliyeomba atalidhika na matokeo
Sup maana yake hujahitimuKwa wale wa diploma ambayo wamefikisha gpa3.0 na kuendelea Lakini walikuwa na supp inakuwaje tcu.naona dirisha limefungwa
Mwenye sup hana final GPA hadi usapue (sup siyo kilema) komaa usapueNishaamka.niko vizuri. 3.3gpa
Mbona mwenye hii namba ni mtoto wa kike.. Weka yakoMtanipigia cm naenda kwanza kijiji kutafuta ada 0770000000
kwani mkuu zishaatoka selection za sec round?Mbona mwenye hii namba ni mtoto wa kike.. Weka yako
Yap, MUM wameshatoa..kwani mkuu zishaatoka selection za sec round?
Ndio afanye application mbona itakuwa too lateSup maana yake hujahitimu
Hadi usapue hicho kimeo
Duuuh poa banaa we una akili acha machokoraa tusubirha ha ha machokoraa wanasubiri second round ha ha ha
TrueDuuuh poa banaa we una akili acha machokoraa tusubir