Second round post

Mimi jana nimewapigia tcu wamesema majibu yanatoka kuanzia juma tatu ya wiki ijayo
 
wavizieni jumapili wanaweza wakavujisha kama first batch,,
sipendagi ujinga mimi
 
Mungu anawaona hawa tcu kwenye web yao wanauza sura tu wamejaza mapicha utadhan wapo wanatafta wa kuwaoa huku raia tunakula msoto ***** "mungu anawaona"
 
Mpaka kichwa kinauma yan washkaj zangu wote wamechaguliwa second batch.
Mm nmebakia solemba yan alaf vimebak vyuo viwil tu navyo kunihukum
Full mapresha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…