Search for Utouh successor begins

Search for Utouh successor begins

Yaani wabongo sisi ni shiiida,watu washaanza kuwaza udini tu....! Hivi mtu kuwa wa dhehebu fulani napo ni kosa!
 
Nafasi kama hizi za CAG zinatakiwa ziwe zinaombwa "apply"... bunge "huru" linafanya vetting afu rais ndo anatangaza..

Dr. Musa Assad is very right candidate lakini kwa hali ya sasa ataishia kuchafuka TU..
 
Huyu naye kamtaja Blandina Nyoni kujifurahisha... Lakini sishangai kwani chini ya utawala wa CCM everything is possible.
 
Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali ludovick utouh astaafu.mrithi asakwa

Search for Utouh successor begins
Dar es Salaam. As Ludovick Utouh retires from the post of Controller and Auditor General (CAG), the huge question looms: who will succeed him in one of the country's most powerful jobs? Mr Utouh's tenure ends officially on Friday.

According to details gathered by The Citizen, names of three respected Tanzanians are poping up as potential successors, but only one of them would be appointed by President Jakaya Kikwete.

Impeccable sources told The Citizen that Mr Pius Maneno, Ms Blandina Nyoni and Prof Mussa Assad are being considered for the big, challenging job that will make them Tanzania's sixth CAG.

Prof Assad teaches the University of Dar es Salaam's Business School (UDBS). He is a Certified Professional Accountant with a doctorate degree in Accounting from Southampton University.

Dr Assad also chairs the governing boards/councils of National Board of Accountants and Auditors, National Bank of Commerce (NBC) and the Muslim University of Morogoro.

He is furthermore a member/trustee of the National Social Security Fund, Higher Education Students Loans Board and Tanzania Fertilizer Company Limited.

Prof Assad has undertaken major consultancy projects in public sector finance, business planning, financial modeling, education expenditure reviews, higher education financing, and so forth) at ministerial, international, multilateral and bilateral organisations, as well as a number of major public firms.

He has trained extensively on accounting and management and authored two textbooks and published extensively.

Ms Nyoni is the former Permanent Secretary in the Ministry of Health and Social Welfare, and was suspended over claims of misuse of her position in the civil service. However, she was subsequently cleared alongside Mr David Jairo, former Permanent Secretary in the Ministry of Energy and Minerals. She had previously been PS of the Ministry of Natural Resources and Tourism.

Besides PS being her topmost post, Ms Nyoni was had also served as Accountant General, had also been a lecturer at the Institute of Development and Management, now Mzumbe University together with Mr Utouh.

Before working as Permanent Secretary, she was a commissioner at the Tanzania Revenue Authority as a commissioner.

Mr Maneno is currently the executive director of the NBAA and also serves as chairman of the Dar es Salaam Stock Exchange governing council and the board of the Institute of Directors – Tanzania among others.

(note; just copied and paste)

Mtazamo wangu; hii ya blandina nyoni kufikiriwa kwenye nafasi nyeti kama hii si inaweza kuwa janga lingine,! au watakuja na single kuwa safari hii ni zamu ya mwanamke bila kujali kama atatengeneza au kuharibu?!
 
"Mrithi wake asakwa"! Anasakwa wapi? Kwani huyo mrithi alitoroka?
 
Hapa ndio wabongo tunapokosea kuleta siasa hata katika taaluma, CAG bado hapaswi kutoka katika system hiyo hiyo manake hata kama anayeondoka bado hakutumiza wajibu wake kutoka na upotevu mkubwa wa pesa ulioripotiwa katika kipindi chake.

Ni vyema sasa kukawa na majibu tofauti kwa matatizo yale yale, ebu safari hii watoe mtu nje kama sio kwa mashirika makubwa ya ukaguzi na udhibiti wa fedha. Nilitegemea Utouh angekuwa na ubunifu mkubwa katika kushauri kuhusu sheria ya manunuzi na watendaji walivyoipokea na kupiga hela hatare. Utouh amekuwa anasubiri maelekezo mpaka ya kina Kafulila ndio aingie kazini mbali na zile business as usual za kutoa hati safi.

Nyoni na Prof waendelee na majukumu yao huko walipo wachukue vijana sasa nafasi kubwa wageuze mawe yote, mpaka vyama vya siasa. Mbona Msechu amepewa NHC tofauti imeonekana kuchukua mtu aliyekulia serikalini hataleta mabadiliko, tupo wakati wa mabadiliko sasa zinatakiwa sub za maana zaidi.

Sasa wewe unataka apewe nan?
 
Prof Assad! Hii nafasi inamfaa lakini naona kama atachafuka sana kwenye hii post, kazi haina independence na unakuwa subjected kwenye maamuzi ya kijinga.
 
Hapa ndio wabongo tunapokosea kuleta siasa hata katika taaluma, CAG bado hapaswi kutoka katika system hiyo hiyo manake hata kama anayeondoka bado hakutumiza wajibu wake kutoka na upotevu mkubwa wa pesa ulioripotiwa katika kipindi chake.

Ni vyema sasa kukawa na majibu tofauti kwa matatizo yale yale, ebu safari hii watoe mtu nje kama sio kwa mashirika makubwa ya ukaguzi na udhibiti wa fedha. Nilitegemea Utouh angekuwa na ubunifu mkubwa katika kushauri kuhusu sheria ya manunuzi na watendaji walivyoipokea na kupiga hela hatare. Utouh amekuwa anasubiri maelekezo mpaka ya kina Kafulila ndio aingie kazini mbali na zile business as usual za kutoa hati safi.

Nyoni na Prof waendelee na majukumu yao huko walipo wachukue vijana sasa nafasi kubwa wageuze mawe yote, mpaka vyama vya siasa. Mbona Msechu amepewa NHC tofauti imeonekana kuchukua mtu aliyekulia serikalini hataleta mabadiliko, tupo wakati wa mabadiliko sasa zinatakiwa sub za maana zaidi.


Mkuu....umeongea swala la msingi sana....CAG sio position ya kisiasa..inahitaji taalum...Assad ni mzuri kama mwalimu..ila kiukweli hawezi kua na Experience kama ya Mapatner wa Auditing firms ..kwa Mfano Bwana Mndolwa, na wengine wengi walioko kwenye mashirika ya ukaguzi( Either ya nje au ya wazawa)...

Iko haja ya kufika pahala na kukubali kwamba kuna academicians na kuna proffessionals eg Auditors.


Napenda kutanguliza kwamba Watajwa wote hapo juu ni wazuri either as academicians or wanasiasa..ila kwenye UCAG sidhani.
 
Sasa wewe unataka apewe nan?

Apewe MTU kutokana Na merit, mgonga nyundo mie siwezi chagua watawala. Hiyo Kazi ni ya ukaguzi Na udhibiti kama walivyomrudisha Sefue Na kumpata msechu ndio hivyo watangaze utaona watu wenye sifa wanatokea. Kunawatu wako PWC au etal watafanya vyema.
 
Mkuu....umeongea swala la msingi sana....CAG sio position ya kisiasa..inahitaji taalum...Assad ni mzuri kama mwalimu..ila kiukweli hawezi kua na Experience kama ya Mapatner wa Auditing firms ..kwa Mfano Bwana Mndolwa, na wengine wengi walioko kwenye mashirika ya ukaguzi( Either ya nje au ya wazawa)...

Iko haja ya kufika pahala na kukubali kwamba kuna academicians na kuna proffessionals eg Auditors.


Napenda kutanguliza kwamba Watajwa wote hapo juu ni wazuri either as academicians or wanasiasa..ila kwenye UCAG sidhani.

Huyu bwana ungekuwa unamfahamu nadhani hata kumtaja usingemtaja.
 
Kwa mfumo uliopo hapa kwetu, labda ashuke malaika. The whole system is rotten, audit reports are there but actions ???
 
Nafakiri kuna vijana wengi wenye uwezo wa kuchukua nafasi hiyo kuliko hao, ambao baadhi walishatumia madaraka yao vibaya huko nyuma. Pia prof na maneno waendelee na nyazifa zao walizonazo sasa maana zinafanya vizuri mfano DSE
 
Hapa ndo tunapokosea waTz. Kwa nini consideration iwe limited kwa hao watu watatu tu? Utaratibu unaofaa ni kwamba kazi hiyo ingetangazwa ili Mtz yeyote anayeona an vigezo vya kuteuliwa aombe na majina 3 yapekekwe kea JK kuteua. Kazi ya kutanganza, ku-shorlist na kuinterview ipewe kwa professwional firms kama KPMG, PwC, Deloitte, etc
 
Back
Top Bottom