teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 137
Wadau katika kufanya setting za simu nimejikuta nimeikubalia screen reader na matokeo yake simu haifanyi kazi tena, kila unachogusa inatamka maneno ya kile ulichogusa nimejaribu kutafuta namna ya kujitoa nimeshindwa, nafikiria kupeleka ika flashiwe lkn kuna vitu vyangu vingi vya muhimu, je nifanyeje kuiondoa hii hali?